Slaa hakusaini matokeo mzee Kamonga, hivyo maswali yako yaaoypfuata yamekuwa redundant! natumaini wansheria wa chadema walisha chakatua jambo hili kisheria, pamoja na busara za wazee wazoefu wa chama kama kina E. Mtei aliyetofutiana wazi na mwalimu. Kutokutambua matokeo, kutomtambua raisi, kutokutambua waziri atakayeteuliwa na raisi.... halafu kuingia bungenu kupigana mm napata wasiwasi kidogo na mfumo wetu utakavyofanya kazi ipasavyo kama tutaaamua kuboycot kwa namna hii. wenzetu CUF zanz waligomea mpaka marupurupu ya wabunge hata vikao hawakuudhuruakwa sababu walikuw jasiri. sina uhakika na upande wa bunge la muungano.
mm binafsi siungi mkono jinsi uchaguzi ulivyo fanyika, at the same time nataka nipambane... sasa hapa kwa kweli tunapswa kuply wise and smart!!!