Pamoja na kusaidia wengi kumbuka kuna madhara ambayo huwezi kuyaona kwa muda mfupi ni mpaka baada ya miaka kadhaa na ni makubwa kuliko unavyotarajia,mbona kondomu ni nzuri tu kutumia?Bado hizo njia zimesaidia wengi.ni kiasi cha mwanamke mwenyewe kwenda kujicheki ajue njia gani ya mpango itakayomfaa kulingana na yeye alivyo.hizo nyingine ni mbwembwe tu.Kuna yale magoli ya asubui asubui haya huwa hakunaga cha condom wala kalenda wala nin.
Mkuu hii ngumu sana rafiki yanguWalevi ndio wanapata shida, ila withdrawal na calendar are the best options. Huwezi niambia nitumie condom na mke wangu, hilo ni tusi.
Tuelezee hizo njia za asili ila usinambie tu maswala ya kutosex siku zangu za joto sababu hiyo siiweziHabari za siku mingi?
Ni kweli usipokuwa makini hizo njia za withdraw na calendar ni ngumu sana ila kusema za ukweli hizi dawa za hospitalini ni hatari zaidi bora kuzaa kuliko kutumia dawa za uzazi wa mpango........nitaje madhara machache tu
1.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2.Uke kujaa maji mengi hivyo kupunguza raha kwenye tedo la ndo na kuweza kusababisha uchepukaji
3.Hasira kwa mwanamke......mwishowe humchukia hata mume baadae uchepukaji huweza kutokea
4.Kwa sababu dawa huwa kwenye mzunguko wa damu muda wote uwezekano wa kuzaa mtoto mwenye matatizo ya akili ni mkubwa sana........rejea watoto wa sasa ambao wazazi wao wamekuwa watumiaji wa dawa hizi(rejea pia uwezo wa watoto mashuleni)
5.Uwezekano wa kupata kansa ya shingo ya kizazi/kansa kwenye mji wa mimba ni mkubwa sana
6.Uke kujaa maji humfanya mwanaume apunguze uwezo wa tendo la ndoa na kusemekana mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume
Kwa uchache ni hayo tu dada yangu ila njia za asili zipo nyingi na zina matokeo chanya zaidi kuliko hizo za hospitalini wewe endelea kutumia ila mwisho wa siku yakikupata moja kati ya hayo utatukumbuka.........kumbuka hospitalini hawasemi ukweli sababu hizo ni biashara za watu
Nikipata muda nitaelezea hapa njia za asili za kupanga uzazi
Najua kuhesabu kalenda shida ya hiyo kalenda siku zenyewe ndo hamu ya mwanaume inakuwa juu sanaShida ya wanawake wengi ni kushindwa kuhesabu kalenda zao vizuri
Watoto bado wakikua wataelewa tuBora uwaambie hata sielewi wanaongelea kalenda gani hawa jamaa
Yaani nitake kuliwa na dume lipo nijibane kwa kujikanda kisa na mkasa!!!!Unatkiwa ufkirie kukosa utamu wa mara moja na kupta shda ya mara nygi bora nn
Bado mtoto huyoTumia uone kama utamaliza miezi mitatu
Wewe unaelewa asanteWanaume hapa tunaongea sana utadhani tunaijua miili ya wanawake 100%,mzunguko wa hedhi wa mwanamke unaathiriwa na mambo mengi kila siku.Hauwezi kuwa constant kama automated machine, kufuata calendar ni hatari sana na hata withdrawal sio salama pia.
Mwanamke aende hospitali aongee na wataalam wa afya kuhusu njia bora na salama ya uzazi wa mpango.Mimba zisizo tarajiwa sio dili na msiwatishe watu kuhusu side effects ambazo nyingine ni za uongo kabisa.
Mkeo unamla kwa condom???Ndoa ninini mbele ya kupanga uzazi
Tumia condom
Eeeh ndo raha ya kupanga uzazi ishu za kujibana bana eti withdraw kwani hiyo ni ATM!!umenitamanisha ulivyosema mguu 1darini mwingine sakafuni
Umeambiwa kuna option ya njia zingine.....Bora kinga kuliko kuzaa na mtu hataki.bora niumwe kuliko kumleta kiumbe asie na hatia duniani ateseke.
Kila la heri mama endelea tu kufanya unavyoona ni sahihi maana watu wote hatuwezi kufanana!!Tuelezee hizo njia za asili ila usinambie tu maswala ya kutosex siku zangu za joto sababu hiyo siiwezi
Mwanaume kuchomoa nayo siitaki hakuna raha nayopata km mwanaume akiwa anamwaga sperms kuna hisia kali huwa nafeel
Kutumia condom hili hapana kiukweli inapunguza utamu kwa kiasi kikubwa
Njia za kisasa zina athari lakini kusema tuzae tu hilo nalo ni gumu mno
Za siku ni nzuri sana kwa upande wangu
Sawa sawaKila la heri mama endelea tu kufanya unavyoona ni sahihi maana watu wote hatuwezi kufanana!!
It's the best actually.WTF!?!?!!! Withdrawal?
Hahaaaa haki ya mungu hachomoi mtu!
That’s the least effective birth control method ever.
Ngumu ni calendar au kuchomoa?Mkuu hii ngumu sana rafiki yangu
Kuchomoa ni ngumu sana aisee mwanamke anaweza kukushikilia wakati we unataka kutoa.......Calendar ni rahisi hata kama siku zitabadikika badilikaNgumu ni calendar au kuchomoa?
Eeeh ndo raha ya kupanga uzazi ishu za kujibana bana eti withdraw kwani hiyo ni ATM!![/QUOT wacheni maneno mengi tunasema hya ili kuziepuka athari na sikukoseshana raha vo hakuna asohitaji raha ww kma una njia rahic yakupata raha bila athar twambie