Madhara ya kuvaa Chupi

Madhara ya kuvaa Chupi

Mimi mwenyewe sipendi kuvaa chupi navaa kwa vile basi tu
 
Mie itakuwa niko nyuma aisee sababu mbali na yote ambayo huwa yanasemwa kuhusu Pichu sijawahi ichukia aisee.

Maana huwa nawaza mengi ambayo yanaweza nikuta nikiwa sijavaa hiyo kitu. Basi nikishawaza hivyo huwa najivalia tu.

Labda kuwepo sababu maalum ya kunizuwia ila nje ya hapo navaa tu.
 
huyo wa kukuvua anarusha uvungi anakosea kiasi.. mimi huwa hata muda wa kumvua mwanamke sometime nakosa... huwa naichanalia mbali. nakichana kichupi nakitupa huko tunacheza game.... tukimaliza nakupa pesa ya kwenda kununulia nyingine. halafu nawe usiwe unaenda nao kwenye sehemu local hivyo zenye uvungu mchafu... kataa.
ni kuvuliwa bna . hakuna raha kubwa kwa mwanamke kama kuvuliwa chupi na kidume kwa meno.sema wanaume wa dar bna wakikuvua wanarusha mvunguni,mvungu wenyewe mchaafu . unajikuta kila siku fangasi aaah
 
Back
Top Bottom