AFYA YA MAMA NA MTOTO
Member
- Mar 1, 2019
- 29
- 11
Je unafahamu madhara yatokanayo na kuweka vidole wakat wa kujisafisha au kutumia douches sehemu za siri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha kuweka vidole sehemu za siri wakati wa kujisafisha, husababisha michubuko hasahasa kwenye mlango wa shingo ya kizazi hivo kupelekea kuta hizo kushambuliwa na wadudu kirahisi
Lkn pia kitendo hiki husababisha wadudu kupenya mpaka kwenye kizazi na kusababisha madhara makubwa ikiwemo kutopona vidonda kwa wale wanawake waliojifungua kwa operation
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha kuweka vidole sehemu za siri wakati wa kujisafisha, husababisha michubuko hasahasa kwenye mlango wa shingo ya kizazi hivo kupelekea kuta hizo kushambuliwa na wadudu kirahisi
Lkn pia kitendo hiki husababisha wadudu kupenya mpaka kwenye kizazi na kusababisha madhara makubwa ikiwemo kutopona vidonda kwa wale wanawake waliojifungua kwa operation
Sent using Jamii Forums mobile app