SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Wakuu,
Kuna kautafiti kadogo nafanya kuhusiana na matumizi ya maji ya kisima yenye chumvi kwa matumizi mbalimbali ya nyumbani.
Ningependa kujua madhara, kama yapo ya maji hayo katika vipengele vifuatavyo:
1. Kunywa - yana athari zozote kiafya kwa mnywaji? Je, yakichemshwa?
2. Kupikia - yana athari zozote kwa mlaji?
3. Kufulia - yanaweza kuharibu nguo?
4. Kuogea - yana athari zozote za ngozi?
Naomba majibu yaendane na maswali niliyouliza hapo juu. Natanguliza shukrani.
Kuna kautafiti kadogo nafanya kuhusiana na matumizi ya maji ya kisima yenye chumvi kwa matumizi mbalimbali ya nyumbani.
Ningependa kujua madhara, kama yapo ya maji hayo katika vipengele vifuatavyo:
1. Kunywa - yana athari zozote kiafya kwa mnywaji? Je, yakichemshwa?
2. Kupikia - yana athari zozote kwa mlaji?
3. Kufulia - yanaweza kuharibu nguo?
4. Kuogea - yana athari zozote za ngozi?
Naomba majibu yaendane na maswali niliyouliza hapo juu. Natanguliza shukrani.