Kwa Standards zipi ukasema hayafai??Tunatumia TZ Standards na WHO guidelines sa we zipi mkuu ume refer???Habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza nawasihi ndugu zangu msinywe maji haya ni chanzo cha madonda ya tumbo maji haya yanazalishiwa Shinyanga Ph yake ni acid ya 6 hivyo kuwa chanzo kingine cha tumbo kujaa gesi na viungulia.View attachment 1110928
Una maana ,TBS,TF DA,na mamlaka nyinginezo wamelala wewe ndio uko macho,Habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza nawasihi ndugu zangu msinywe maji haya ni chanzo cha madonda ya tumbo maji haya yanazalishiwa Shinyanga Ph yake ni acid ya 6 hivyo kuwa chanzo kingine cha tumbo kujaa gesi na viungulia.View attachment 1110928
Tatizo kubwa la sisi watanzania ni kujaribu kuzungumzia vitu ambavyo hatuna ufahamu navyo(Not well informed)Habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza nawasihi ndugu zangu msinywe maji haya ni chanzo cha madonda ya tumbo maji haya yanazalishiwa Shinyanga Ph yake ni acid ya 6 hivyo kuwa chanzo kingine cha tumbo kujaa gesi na viungulia.View attachment 1110928
Phd za korosho zinawatesa sanaHabari wana jf, kichwa cha habari chajieleza nawasihi ndugu zangu msinywe maji haya ni chanzo cha madonda ya tumbo maji haya yanazalishiwa Shinyanga Ph yake ni acid ya 6 hivyo kuwa chanzo kingine cha tumbo kujaa gesi na viungulia.View attachment 1110928
Shame on you.Habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza nawasihi ndugu zangu msinywe maji haya ni chanzo cha madonda ya tumbo maji haya yanazalishiwa Shinyanga Ph yake ni acid ya 6 hivyo kuwa chanzo kingine cha tumbo kujaa gesi na viungulia.View attachment 1110928
Kwa kunywa yanafaa if chanzo ni natural waters like Boreholes,TZ standards ni 5.5 to 9.5moles/l.pH can vary due to an aquifer characteristics,Na wewe una biashara ya maji ? Hivyo umeamua kuwachafulia. Ni kweli yana PH ya 6??Maana maji ya kunywa yanatakiwa yawe na PH ya 7.Less than 7 ni acidic water.
What is an aquifer????Umenikumbusha Nkotagu.Kwa kunywa yanafaa if chanzo ni natural waters like Boreholes,TZ standards ni 5.5 to 9.5moles/l.pH can vary due to an aquifer characteristics,
Hahahaa mkuu,Aquifer/water table ni layer ya fulani ya miamba ambayo maji hupatikana chini ya ardhi.What is an aquifer????Umenikumbusha Nkotagu.
Naomba nisiongeze neno tafadhali....Habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza nawasihi ndugu zangu msinywe maji haya ni chanzo cha madonda ya tumbo maji haya yanazalishiwa Shinyanga Ph yake ni acid ya 6 hivyo kuwa chanzo kingine cha tumbo kujaa gesi na viungulia.View attachment 1110928