NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Victoire maji ya Ph 7 ni distilled water ambayo kiafya sio salama.Ukinywa yanashusha umeme mwili (electrolyte)
Na wewe una biashara ya maji ? Hivyo umeamua kuwachafulia. Ni kweli yana pH ya 6??Maana maji ya kunywa yanatakiwa yawe na pH ya 7.Less than 7 ni acidic water.