Shida ilianzia hapo,mkono kama chimney ya boiler halafu mnene mfupiSasa uneona nguo imevaliwa na kamodael flani huko nje, na wewe unashepu ya kinyakyusa, itakukaa vipi!!!? Rangi tu ya alie i promote na yako ni tofauti
Nyie watu jamani 🤣Shida ilianzia hapo,mkono kama chimney ya boiler halafu mnene mfupi
Shoti Chasesi....
Kwa Kweli uko vzr mm nimependa mwili wako unanifaha Sana njoo pm tuyajenge nikuagizie lingine
Upo serious kwenye issue za utaniTatizo wala sio nguo ..... Vipimo vyako si ulituma sawa sawa....... SASA shida ni mwili wako hauko kama kwenye hiyo picha.......uvae blazia 46D mwenzako anavaa 23D uoni kasoro...... Hips 36 zako 46 uoni balaa kiuno 26 chako 36 si Bomu Hilo .......Kwa kifupi wewe ni bonge nyanya.. ..mna nguo zenu zina wapendeza vizuri lakini siyo Hilo gauni...... Pole
Anacholalamika Miss Natafuta ni kuwa hizi nguo hazifanani rangi. Kaletewa yenye rangi iliyopauka.
Muonekano wa rangi ni tofauti hata fabric material nadhani, ya juu inaonekana ni nzito kiasi tofauti na ya chini. Muhimu kabla ya kununua vitu online soma reviews za wanunuzi waliopita at least itakupa mwanga.Anacholalamika Miss Natafuta ni kuwa hizi nguo hazifanani rangi. Kaletewa yenye rangi iliyopauka.
tatizo siyo nguo. tatizo ni wewe kutokuwa na shape.
hiyo wewe kakuambia kwa pembeni?Anacholalamika Miss Natafuta ni kuwa hizi nguo hazifanani rangi. Kaletewa yenye rangi iliyopauka.
Unataka shape gani sheikh?tatizo siyo nguo. tatizo ni wewe kutokuwa na shape.
Nguo nzuri kwa huo mwili wa kwenye tangazo la muuzaji tatizo mwili wako kama chavichavi ndio unapata tabu
tako, hips, kiuno vionekane.Unataka shape gani sheikh?
Watoto wa mbwa hamtaki masiharatako, hips, kiuno vionekane.