Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umeletewa kitu sahihi? [emoji28][emoji28]
Haina yofauti na kwenye picha, tofauti ipo kwenye maumbo yenu
Hii mada ingeweza kusaidia wengi wanaonunua vitu online kama watu wangeitazama kwenye muktadha wa mwanzisha uzi.Wana JF bwana! Utadhani wao wanatoka sayari ya mars. Mbona dada wa watu kibonge mzuri tu umbo lake limebalance vizuri kabisa. Jadilini nguo....
Mi naona fabric iko tofauti na rangi pia, ila sio mbaya kivileee!
Waache tu.hyo nguo ni tofauti .rangi,kitambaa kila kituHii mada ingeweza kusaidia wengi wanaonunua vitu online kama watu wangeitazama kwenye muktadha wa mwanzisha uzi.
Exactly,umefanana na wifi ykWaache tu.hyo nguo ni tofauti .rangi,kitambaa kila kitu
Unatumia kamera gani? Samahani lakini
Msalimie mkeo 🤣🤣🤣Bora wewe kabisa aisee, mimi wife aliagiza yakaja bonge ya majanga 😠ðŸ˜ðŸ˜
View attachment 2555679
tuache utani umependeza, nenda kwa fundi aipuze halafu ipige pasi pia hiyo sio nguo ya kutembea nayo kwenye jua kali
unajua siku hizi wauza bidhaa online huwa wanawalipa reviewers ili waandike comments nzuri? Pia wanawalipa influencers kufanya promotion ya bidhaa zao.Muhimu kabla ya kununua vitu online soma reviews za wanunuzi waliopita at least itakupa mwanga.
Najuaunajua siku hizi wauza bidhaa online huwa wanawalipa reviewers ili waandike comments nzuri? Pia wanawalipa influencers kufanya promotion ya bidhaa zao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nguo nzuri kwa huo mwili wa kwenye tangazo la muuzaji tatizo mwili wako kama chavichavi ndio unapata tabu