Madhara ya nyama ya nguruwe na nyama nyekundu ya kawaida

Kama kufa kwa madhara ya kula mdudu ningalikuwa nimebak jina tu dunian
 
Kwa upande wa sayansi ya afya , nafahamu ..kilichoandikwa nikweli.


Sasa nawafunulia maandiko matakatifu

ISAYA 65:3... Mungu anawataja watu wanaomkasirisha , namoja yao nihawa wala nguruwe ...jiulize umemkasirisha mara ngapi???

Kama huna reference kutetea hoja yako ,soma kaa kimya!! .... Naamin hata Quran itakua imekataza.
 
Sasa baada ya kumkasirisha ,Mungu anatangaza azabu kwa wote wenye miili bila kujalisha Asilia yako niipi ,uwe.mchina,mzungu n.k

Na moja ya watu watakaouwawa kwa mkono wake ,na upanga na moto wake ,nihawa wala nguruwe.
Uzi mwema!! Yangu hayo.
 
Aaah wacha nife tu jamani ila ile nyama hapana kwakweli ni taamuu
 
Nadhani kama kungekuwa na hatari hivyo nadhani wizara ya afya, TFDA,TBS na madaktari wa mifugo wangekuwa wamesha piga marufuku, mimi naamini hata aliyefanya huo utafiti anakula mnyama kama kawaida ila ametoa huo utafiti kwasababu kila kukicha walaji wanaongezeka na bei inapanda kwahiyo katoa utafiti huo ili watumiaji wapungue na bei ishuke.Halafu sijui kwanini vitu vizuri ndio tunakatazwa na kuambiwa ni dhambi mara haramu........
 
Mtu anayekula noah ni sawa na cannibal.
Ukionja nyama ya binadamu hutaacha kamwe.
 
Usiseme Mbuzi Katoliki sema KITOWEO CHA TAIFA
 
Kuna jamaa kila siku anapata kikombe cha damu ya nguruwe mbichi ya moto mara tu anapochinjwa. Yupo sawa , yupo sawa kweli?japo akili yake ipo mbele dk. mbili lakini huwa Mungu analinda watu wa namna hiyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dogo sisi ni wa Agano Jipya.
Agano la kinacholiwa kinaenda chooni na sio moyoni
Majungu yanaenda moyoni.
 
Mahospitalini kuna kesi nyingi zaidi za magonjwa ya wanywaji bia, walaji wa nyama ya ng'ombe, mbuzi, vyakula vya wanga but non-case za walaji kitimoto.
Athari za walaji wa kiyimoto huwa zinapatikana kwenye nyumba za ibada pekee kuliko maeneo yanayoshughulika na afya za watu.

Nchi zinazoongoza kwa kula Kitimoto duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…