Madhara ya uchawa

Madhara ya uchawa

Ndugu makala!
1. Kwani hamteki wapinzani?
2. Hamuuwi wapinzani?
3. Hamuibi kura?
4. Hakuna kesi za kusingiziwa?
5. Hamuengui wapinzani isivyohaki?
6. WALIMU hawatumiki kuiba kura?
7. Watendaji je hawatumiki?
8. Polisi na Tiss je?

Ccm mnatukosea sana watanzania.
Mjibuni lissu kwa hoja .
Uchaguzi wa 2024 umethibitisha pasi shaka kile mtafanya 2025.
Lissu Yuko sahihi 100%
Ccm mnatukosea sana watanzania.
Mjibuni lissu kwa hoja .
Uchaguzi wa 2024 umethibitisha pasi shaka kile mtafanya 2025.
Lissu Yuko sahihi 100%📌🔨
 
Side effects of uchawa. Ni sawa na ziara ya her Excellence Tanga last week kuliandaliwa msosi kwa nishati ya kuni wakati
Sio UCHAWA, bali ni side effect ya gari kuendeshwa na dereva kipofu. Decision zote anategemea watu wengine.

Nchi imekua kichwa cha mwendawazimu, kila mtu anataka ajifunzie kunyoa.
 
Ukiwaangalia viongozi wetu utagundua ni aidha vichwani ni chenga ama wana akili wametuona wabongo ni chenga hivyo wanatupeleka hivyo hivyo kichenga chenga.

Kwenye jamii ya warevu, wakikubali kuongozwa na chenga, basi jamii yote inaonekana ni chenga.
 
Kila siku nawambia watu kuwa kugawa mitungi haiwezi kuwa soln ya watu kutotumia mkaa na kuni kwa sababu hata wao ina maana wameona gas ni ghali wamerudi kwenye kuni. Ukimpa mtu mtungi gas ikiisha anauza mtungi au anaweka stoo anarudi kwenye kuni zake. Solution ni gas ishuke
Duuh maneno na Matendo,kama mbingu na Ardhi!Havikamatani.
Setensi yako haijakamilka mkuu.

ccm hakuna wenye akili kule.Yaani unapinga matumizi ya kuni hapohapo wewe unatumia kuni akili gani hii?
Side effects of uchawa. Ni sawa na ziara ya her Excellence Tanga last week kuliandaliwa msosi kwa nishati ya kuni wakati promotion ni nishati safi View attachment 3258621🥺🤔🙇🏿‍♂😭
Kati ya kitu hatujui ni kwamba matumizi ya aina fulani ya nishati ya kupikia mfano mkaa au kuni au gesi au umeme yanaenda sambamba na hali ya maisha na utamaduni wa mtumiaji!
WaTanzania kimsingi ni masikini wa kipato na wengi wanapika vyakula vigumu kuiva (vinachukua muda mrefu jikoni) mfano, maharage, makande, nyama, wali n.k!
Kwa aina na mapishi ya hivyo vyakula hata mtu akiwa na umeme bado atahitaji kuni au mkaa.
Tungejikita katika kupanda miti mingi ili watu wetu wapike kwa gharama nafuu. Pili tungeboresha majiko yatumikayo ili kuni zitumike chache na moshi upungue!

Haya masuala ya gesi sijui nishati blah blah ni mchakato wa mabadiliko unaotegemea kuimarika kwa vipato vya watu!
Kumpa mtu keki/mkate wa bure leo hakumfanyi awe na uwezo wa kununua keki/mikate siku za usoni... Ataendelea kupiga pasi ndefu au atatumia anachopata kwa urahisi!

ccm isikwepe jukumu lake la msingi la kulete maendeleo chanya! Wasitafute shortcuts!

Hizo gesi mnazowapa ni teknolojia mpya kwao. Je, mnawapa na ELIMU jinsi ya kumtumia na kuitunza hiyo mitungi? Je, ikiisha mtawapa fedha za kwenda kujazia?
 
837E2722-2AC0-41B4-AAC1-BF3C9EC62187.jpeg
 
Kila siku nawambia watu kuwa kugawa mitungi haiwezi kuwa soln ya watu kutotumia mkaa na kuni kwa sababu hata wao ina maana wameona gas ni ghali wamerudi kwenye kuni. Ukimpa mtu mtungi gas ikiisha anauza mtungi au anaweka stoo anarudi kwenye kuni zake. Solution ni gas ishuke
Chawa hawawezi lielewa hili mkuu. Kawaida ya chawa kutokuelewa.
 
Back
Top Bottom