[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unajifanya kichwa ngumu sioUrongo mtupu! Tunyweni soda baridi wandugu,, hii ni vita ya kibiashara kati ya pombe na soda!
Hivi unaqoute uzi mrefu kama huu kwa visentensi tuwili tuu..Tumia kinywaji asili kwa kuandaa JUICE ya matunda
Utashangaa kuona wagonjwa wanapelekewa soda wodini na jamaa zao eti waongeze Damu............!!! kazi kweli kweli.........
Ninyeee[emoji107] [emoji107] [emoji107]Kunya energy drink!
Koma la mamoya..Acha utani..ama unataka unyweshwe ninii....!
Kunywa juice ya azam au ya kutengeneza mwenyewePombe sinywi, maji siyapendi ntakunywa nini sasa wai!
gongoPombe sinywi, maji siyapendi ntakunywa nini sasa wai!