Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mkuu Soda kwa mtu wakawaida ina madhara makubwa itakuwa kwa mwanamke mja mzito?
Dr William Mtanzania Wa USA America
Washenzi ninyi woteMnaokunywa soda za Pepsi na Coca cola.
Wajinga wote mtakao soma ujumbe huu na kisha kuupuza, Ni nani kati yetu asiyependa vitu vitamu kama hizo soda.
Ila unajua kwenye chupa moja ya soda ya coca cola au Pepsi kuna zaidi ya vijiko 10 vya sukari yani unahesabu 1,2,3,4,5,6,7,8,9 hadi 10.
Kwa kawaida ukinywa vijiko 10 vya sukari ulistahili kutapika au kushikwa na kichefuchefu ila asante kwa phosphoric acid iliyomo kwenye soda hizo ule ukakasi wa radha ya sukari unapotea ndio maana hutapiki unakunywa kwa raha zako.
Baada ya dakika 40 sukari yote inazama kwenye mishipa ya damu yako, Asante Mungu kama ulikuwa na pressure ya kushuka madakitari watakwambia kunywa coca cola moja maana ndani ya hizo dakika 40 blood pressure yako itapanda juu.
Baada ya B.P kuwa juu mapigo ya moyo wako yataanza kubadilisha fomula ya utendaji kazi wake moja kwa moja utaanza kukaribisha ugonjwa moyo.
Asante Mungu kwenye mishipa yako tayari kuna cholesterol zimeanza kujitengeneza zinausongelea moyo bila kusahau kwa wiki ukiwa unaweza kunywa kati ya chupa mbili (2) za soda basi figo lako limeanza kutunga mafuta kwenye kuta zake.
Unywaji wa soda ni chanzo cha magonjwa ya " Moyo"
"kuziba kwa mishipa ya damu"
"Kupata cholesterol ambayo inaongeza kisukari
" Kuharibu mishipa ya moyo "
"Kutungisha mafuta kwenye figo na figo moja kulinunua ni zaidi ya $336,000"
"Kupandisha pressure kuwa juu ya damu"
"Hutanua mishipa ya damu"
"Husababisha kukosa usingizi hasa kutokana na caffeine iliyomo kwenye kinywaji cha coca cola"
"Ni chanzo cha kutoboka kwa meno na kungooka"
"Huzuia kupata choo"
"Saratani"
"Inachumbua tumbo =Vidonda vya tumbo"