Na ole wako natoa onyo kali.usijaribu kumeza panadol kwa kutumia cocacola au pepsi badala ya maji huchukui dakika 5. Umefariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete facts mkuu, uhatari wake nini?.wengi humu wataiongelea sana soda kuwa hatari ila wakisahau kuwa maji ya dukani tunayokunywa ndo sumu moja hatari mno maana yenyewe hata mdudu hayasogelei
Mkuu wewe kunywa tu Soda ya aina yoyote ukidhurika dawa zipo.Aaah.... Mie nakunywa bana.
Embu elezea mkuuwengi humu wataiongelea sana soda kuwa hatari ila wakisahau kuwa maji ya dukani tunayokunywa ndo sumu moja hatari mno maana yenyewe hata mdudu hayasogelei
Na kwa nini ubusti PH?Lete facts mkuu, uhatari wake nini?.
Properties zipi za maji ya dukani zinaifanya hayo maji kuwa sumu?.
Chemicals zinazowekwa kwenye maji ni hypochlorite, antiscalant na base za kuboost pH. Kipi hapo kinachoongeza sumu?.
Kinachoongeza sumu ni hizo chemicals ulizozitaja. Kemiko ni kemiko tu, kuziainisha ni kujifariji tu.Lete facts mkuu, uhatari wake nini?.
Properties zipi za maji ya dukani zinaifanya hayo maji kuwa sumu?.
Chemicals zinazowekwa kwenye maji ni hypochlorite, antiscalant na base za kuboost pH. Kipi hapo kinachoongeza sumu?.
Hata hayo maji uyasemayo ya bomba yana chemical, hamna maji utachimba kisimani yakawa na H na O tu. Hayo ya bomba pia yanapitia treatment, hawachimbi tu na kuanza kuyagawa.Kinachoongeza sumu ni hizo chemicals ulizozitaja. Kemiko ni kemiko tu, kuziainisha ni kujifariji tu.
Ni shule pana kidogo, ila maji asilimia kubwa yanayochimbwa ni base au neutral. Ila yakipita kwenye RO ambapo yanaondolea chumvi pH yake inashuka. Ili kurudisha pH ambayo ni suitable kwa matumizi ya binadamu basi wanafanya hiyo pH adjustment.Na kwa nini ubusti PH?
Asante kwa shuleNi shule pana kidogo, ila maji asilimia kubwa yanayochimbwa ni base au neutral. Ila yakipita kwenye RO ambapo yanaondolea chumvi pH yake inashuka. Ili kurudisha pH ambayo ni suitable kwa matumizi ya binadamu basi wanafanya hiyo pH adjustment.
Ndo ulisomea digrii pale Muslim University of Morogoro?kaka weka citation tufuatilie zaidi, mimi ni mdau wa vyakula na sayansi yake
Soda kwa mjamzito ina madhara gani mkuu.?Mkuu wewe kunywa tu Soda ya aina yoyote ukidhurika dawa zipo.