MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,345
- 3,570
Cjakataa kuacha ila soda ina raha yake jaman hasa kukiwa na jua kali na joto yaan ukishushia kitu cha barid unaona kabsa kwenye koo kitu kinapita.
People eat man made JUNK instead of God given NATURAL foods. Soma tena hii sentensi!
.
Tunakula chakula ambacho hatukuwa designed kula, mfano badala ya matunda na juisi asili tunakunywa soda.
.
Sio mbaya kunywa mara moja moja ila kama unaweza, Acha moja kwa moja mkuu.