Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

.
People eat man made JUNK instead of God given NATURAL foods. Soma tena hii sentensi!
.
Tunakula chakula ambacho hatukuwa designed kula, mfano badala ya matunda na juisi asili tunakunywa soda.
.
Sio mbaya kunywa mara moja moja ila kama unaweza, Acha moja kwa moja mkuu.
Cjakataa kuacha ila soda ina raha yake jaman hasa kukiwa na jua kali na joto yaan ukishushia kitu cha barid unaona kabsa kwenye koo kitu kinapita
 
Ukikuta mtaa una mabango mengi ya waganga wa kienyeji ujue umasikini umetamalaki eneo hilo, hama huo mtaa soda kwao ni anasa.
 
Hata uvukaji Wa barabara ni hatari kwa afya na maisha yako kama usipozingatia kanuni za uvukaji
 
Naona mkuu umeweka kivumishi cha guru ili umtishe zaidi
Lazima hapo ajitapishe soda zote alizokunywa. ila kiukweli badala ya soda ni bora kunywa maji au hata matunda.
** Maji yanasaidia pia kuimarisha misuli ya uboh (pia ni vema kufanya mazoezi ya pumzi ili ukimtia mkononi mpenzi wako wewe ni kumsukumia mashine a.k.a kupakua tu mpaka aombe poo
 
Nna miaka 8 sijuii soda
Hpa ni beer na nyagi

Ova
Hujakwepa kitu kijana. Sukari ipo kwa uwingi kwenye bia na ndiyo maana bia inaongeza uzito. Mvuta sigara ana nafuu kuliko mnywa bia. Sigara inaua tu mapafu na koromeo ili hali bia inamaliza moyo, ini, figo, tumbo n.k
 
Mfano wako hauendani kabisa na kinachojadiliwa. Petrol siyo kinywaji cha mwanadamu. Kama unawaza kipetrol basi omba Mungu akubadirishe uwe gari.
Mkuu nilitaka kuchangia kuhusu sumu iliyo kwenye soda ila umeniacha hoi na hii "kwan kazi ya ini ni nini katika mwl wa binadamu kama sio kupambana na hzo sumu?" Yaani wewe unywe mapetroli halafu uliachie ini nipambane.
 
Back
Top Bottom