Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Ngoja niattach... au kama vipi ingiine youtube kuna video kibao
Mkuu iapload kama unaweza, ili watu waone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niattach... au kama vipi ingiine youtube kuna video kibao
Leo nmetumiwa video ikionesha hatariii na madhara ya soda asee wakuu acheni kunywa soda, vinginevyo wakati unakunywa andaa na bajeti ya matibabu, nmeshindwa kui attach, mwenye nayo ataiweka,,,,
Ila wakuu soda mmmm basi
Leo nmetumiwa video ikionesha hatariii na madhara ya soda asee wakuu acheni kunywa soda, vinginevyo wakati unakunywa andaa na bajeti ya matibabu, nmeshindwa kui attach, mwenye nayo ataiweka,,,,
Ila wakuu soda mmmm basi
Kama kuna mtu anaihitaji hyo video ani pm kwa no ya wasup nmtumie. Pengine anaweza anweza kusaidia ku apload
Leo nmetumiwa video ikionesha hatariii na madhara ya soda asee wakuu acheni kunywa soda, vinginevyo wakati unakunywa andaa na bajeti ya matibabu, nmeshindwa kui attach, mwenye nayo ataiweka,,,,
Ila wakuu soda mmmm basi
mkuu hoja c ku consum ngap, hoja ni matumizi, nikupe mfano ukiambiwa kuwa chakula unacho kula n kitamu sana ila kimewekewa sum kidogo tu, je utaendelea kula??
Mkuu m nadhan anzia pale unapojua madhara yake, tafakari chukua hatua
.....usiogope...watu wanatisha badala ya kueleza kwa kina..inategemea unaconsume ngapi na kwa muda gani..na kiasi kipi ni hatari kwa afya..ukijua hayo utafahamu upo katika nafasi gani...
Mkuu iapload kama unaweza, ili watu waone
i drink lots when am not high
Kama kuna mtu anaihitaji hyo video ani pm kwa no ya wasup nmtumie. Pengine anaweza anweza kusaidia ku apload
..how much is lots and how often...?....to much of anything is harmful however...
sawa mkuu; ila nimefanya hivo kufupisha uzi, ingawa pia ucjali nitakuwekea updates, madhara yatokanayo na biaUzi mzuri, hata hivyo una mapungufu kidogo ya kiufundi. Unavosema soda ina madhara kuliko bia ulitakiwa ujenge hoja pande zote mbili lakini hujafanya ulinganifu wowote zaidi ya kuizungumzia soda pekee. Ulivesma soda moja ni sawa na vijiko kadhaa vya sukari ulitakiwa useme je bia moja kwa volume hiyohiyo ya soda ina vijikovingapi vya sukari??
Vilevile tukumbuke kuwa too much of a good thing is harmful. Chumvi pia ina madhara, ugali, wali, maji n.k. Cha msingi ni watu watumie kila kitu kwa uangalifu mkubwa.