Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Ripoti haijakaa kisomi naona hapo ni business competition and alcohol does not affect human being?
 
Report yenyewe haipo kitaalam zaidi. Cjailewa na cdhani km waliofanya utafiti ni wataalam na wakaja na poor report km hii. Yaani ipo kiujanja ujanja tu, tunajua ndio soda ina madhara bt hii report sio ya kisomi kabisa. I think ni hypothesis.
Kama ww ulikuwa unajua soda inamadhara kwanini ww haukutuletea report ya kitaalam unayo ijua ww.
kuliko usubilie wenzako waandiko report harafu uanze kusema sio ya kitaalamu.
 
Utashangaa kuona wagonjwa wanapelekewa soda wodini na jamaa zao eti waongeze Damu............!!! kazi kweli kweli.........
 
kingwangala umesikia hii eti mwandishi wa habari anautangazia umma wa watanzania kuwa soda ni sumu????? Aloooo kweli nchi hii ni shida,
 
Sasa mbona nimeshaagiza Pepsi ya barrrrridi inakuwaje, nigairi au? Na ukizingatia Leo ni siku kuu naweza nikanywa hata tano
 
Hata hewa unayovuta ina kemikali zenye madhara. Hata maji unayo kunywa. Wacha tuendelee kunywa soda mkuu
 
Pombe ni mbaya sana, ukishalewa kila kitu unakiwaza kipombepombe tu
 
Kwani bado kuna watu wanakunywa hizo toxic junk drinks?!! Pole yao aisee.

Water is the key. Water is everything. 'Natural water' ndo my all time favorite drink. Plus natural fresh juices.

Watu wanashindia chips yai, kishushio soda tena ya baridiiiiii. Usiku napo the same, anakunywa kaglasi kamoja ka maji, ama anakunywa maji ya dukani.

Yani from asubuhi to bedtimes ni mwendo wa junk foods/drinks tu. Dooooh. Apo lazima utaishia kuwa mteja wa pharmacy/hospital kila mwezi.

The frontline defender wa AFYA yako ni wewe mwenyewe binafsi.

-Kaveli-
 
Sheria ya mitandao na sheria ya vyombo vya habari ifanye kazi yake kwa upotoshaji huu Mara moja

Haiwezekani ktk nchi kila mtu ni mwandishi wa habari, this is stupidity of high magnitude up 240N/Kg
 
Back
Top Bottom