Madhara ya Usimba na Uyanga yameigharimu timu ya Taifa Stars

Mkuu kwenye andiko lako umeandika best prayer ulikuwa una maanisha best player?
Kuwa makini katika kuandika unaweza kujikuta unatoa kitu tofauti na ulichokusudia, ila umeeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwenye andiko lako umeandika best prayer ulikuwa una maanisha best player?
Kuwa makini katika kuandika unaweza kujikuta unatoa kitu tofauti na ulichokusudia, ila umeeleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
Errors ndogo ndogo ni za kupotezea jikite kwenye content hili ni group la michezo kwahiyo lengo lake lilijulikana
 
Wekeni kikosi nione hao wa yanga ni akina nani? Ninachofaham wachezaj wa starz kutoka yanga huwa wanajitolea kwa nguvu kubwa kwa ajili ya taifa ila wa timu zingine wanasubiri klabu zao ziambiwe kuna mechi dhidi ya yanga utaona kumbe wachezaji si ndio hawa !kaza makalio kisa tumfunge yanga baada ya halo kwenye majukumu mengine yanakuwa nyanya tu unashangaa mwisho wa ligi ubingwa jangwani.na litimu la taifa ukilijaza wachezaj wa aina hiyo matokeo yake ni kama ya Leo OUT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu
 
Upo sahihi mkuu
 
Kikosi kilikuwa na wachezaji wangapi wa simba na yanga!? Wabongo bwana hata bila kufuatilia mnakuja kubwabwaja tu humu. Je hao waliokuwepo wa simba hawana uwezo wa kucheza!??
 
Msuva mbna anakimbikimbia bila mafanikio wala msaada
 
Hivi timu nzima ya Taifa stars inawachezaji wangapi wa yanga,,tuache ushabiki usio kua na maan,..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kizibeba timu mbili kivipi,,wakati yanga ina mchezaji mmoja tu nae ni msuva,,,,Yanga hapo inaingiaje sema wachezaji wa simba au azam ndio wapo wengi kwenye timu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo Coach...hajawahi kusimamia timu hata mechi za club mashindano ya CAF..TFF tafuteni coach mzungu mwenye mafanikio Magu atamlipa mshahara..Mayanja ni kama coach wa Ndondo Cup mbinu hakuna
 
Tatizo Coach...hajawahi kusimamia timu hata mechi za club mashindano ya CAF..TFF tafuteni coach mzungu mwenye mafanikio Magu atamlipa mshahara..Mayanja ni kama coach wa Ndondo Cup mbinu hakuna
Mayanga
 
Soka la bongo halieleweki...usipoweka wachezaji wa Simba Yanga au Azam bado watu watalalamika...Muarobaini wa hili tatizo sijui ni lipi
Hakuna mchezaji wa simba na yanga wala mchezaji wa boom fc. Wachezaji wa bongo viwango vyao wote vinafanana. Tatizo sio kocha wala wachezaji. Ni mfumo wetu wa soka, ni ligi yetu. Tuache kutafuta mchawi wakati wakati daktari keshatuambia tatizo la mgonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…