Madhara yatokanayo na ulaji chips

Madhara yatokanayo na ulaji chips

Hahahahaha ila chips zege si zao la wanadaresalaam mkuu msitusizingizie wa mkoani bhana
Chips zege original yake ni Latin America, tena kule zege linakatiwa hoho njano, nyukendu na kijani. Ukiliona tu mate yanatoka.


1545724909265.jpeg
 
Chips zege original yake ni Latin America, tena kule zege linakatiwa hoho njano, nyukendu na kijani. Ukiliona tu mate yanatoka.


View attachment 976725
Wabongo nyie ndo mabingwa wa kucopy kwanza..... Sasa mmebadilisha had tamaduni zenu mwisho mnaanza kulialia na mabwana zenu kazi wanashindwa tuuu mwisho mnakimbilia mkoani.... Mbadilike sasa chips ni za madem kwanza mwanaume halisi hawezi kushindia chips na juice ya miwa mkuu... [emoji41]
 
Chips zina mafuta. Na mojawapo ya sehemu mafuta(fats) zinapohifadhiwa ni around the heart.. Pia kutoka m.a..t..a.k.o Ukila saana inasababisha m.a.t.a.k.o kuwa makubwa.. So kama huwezi kuacha kabisa bac kula atleast once per week! Mimi binafc chips kula ni nadra saana.. I can say once per month!
Kwa hiyo kaka BASHITE hadi maji yake ya kunywa yanawekwa chips mayai?
 
Zama zinabadilika kila uchao...

Zamani wazee wetu walikuwa wanakula mtama umechanganywa na ulezi, hio ikapita.

Wakaja wakoloni wakaleta muhogo toka Amerika ya Kusini, mtama na ulezi vikapunguza umaarufu, wazee wetu waliwashangaa sana watu wa kizazi chao kwa kukumbatia muhogo na kuacha mtama na ulezi wakasahau kuwa hata wao waliacha kula mizizi na matunda wakakumbatia mtama na ulezi.

Baadaye yakaingia mahindi kutokea huko huko kwa mkoloni, watu wakaacha muhogo wakachangamkia mahindi, wazee wa wakati huo wakawashangaa sana kwa nini kuacha muhogo kukumbatia mahindi "vyakula vya watu weupe visivyo na faida mwilini"??.

Baadaye ukaingia mchele, wazee wanaokula mahindi wanawashangaa sana wanaoukumbatia mchele kwa kuwa ni "chakula cha kuja".

Sasa ulaji wa chipsi unaingia kwa kasi kama vile ambavyo vingine viliingia kwa kasi na watu wakashangaa pia kwa nini watu kukumbatia "mavyakula ya wazungu".

Ni zama tu zinabadilika mkuu, baadaye tutaingia kwenye ngano na mavyakula ya makopo na watu watapuzia chipsi pia.

Madaktari wamejikita kueleza madhara ya chipsi badala ya kutueleza na faida zake pia, haya ni madhaifu makubwa sana katika kuleta judgement ya kitu, huwezi kusikia one sided story peke yake.

Zama mpya zinakuja, za zamani zinapotea, lakini all in al hakuja jipya chini ya jua.

Vijana kuleni kiepe yai, kwa kuwa hizi ni zama zenu.
Unauzia wapi chips wewe. Kweli tamaa ya pesa ni mbaya,
 
Hakuna chakula kinachopunguza nguvu za kiume, tatizo ni mtindo wa ulaji namtindo wamaisha pia.

Kula chips zako, fanya mazoezi, kula matunda kunywa na maji.

Alafu miili ya watu haifanani na haina mapokeo yanayofanana kwa vyakula. Jua mwili wako kisha set mtindo wa ulaji na mfumo wa maisha kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom