kufia ktk gemu.So many wazee ambao bado zile sifa za long time kuwa mtu akiwa kiwembe sana wamedhibitiwa na Energy drinks(Red bulls,shark etc). Hawa wazee na wengine ni wale wanovunja sheria vibaya na kutuacha tukiumia ktk familia kwa vile hakuna cha kuwafanya pale, wanapochukua wake ,dada, mama ,kaka poa, na watoto wetu, wanaotunyang`anya viwanja, kuuwa ndugu zetu huku mikono ya dola ikipata bganzi kuwashika.Hawa jamaa wana migonjwa ya moyo, kisukari etc...na jogoo ni wa kushtua...basi huwa wanabwia aina za vigra+akina Red Bulls+ konyagi ili wavute masaa .Wakitoka hapo mapigo ya moyo yanacheza ktk limits wakiingia ktk game na kabinti kichaa safari inaanza kwa kazi, karibia kupiga bao moyo unaongeza mapigo yanayozidi marginal errors za stabilizer,mzee anapita. Msiwauuze machangu wanafanya tunachokiota, wanafanya kilichoshinda sheria tena kwa makubaliano halali na mtuhumiwa.....malima najua hilo.