cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Heshima yenu wakuu. Kuna jirani yangu ameniletea carton nzima ya RedBull na kudai amepewa zawadi ya birthday. Nilipomuuliza kwa nini ananipa carton nzima amedai kaambiwa zina madhara na hivyo hatumii. Kabla sijafungua hili carton naombeni mnipe madhara ya kinywaji hiki.
Y akupe wkt vnamadhara,nawew kwnin upokee kama amekuwarn madhara!?
Kwa mwanaume ukinywa kama mbili hivi unakuwa na hisia za kike.Heshima yenu wakuu. Kuna jirani yangu ameniletea carton nzima ya RedBull na kudai amepewa zawadi ya birthday. Nilipomuuliza kwa nini ananipa carton nzima amedai kaambiwa zina madhara na hivyo hatumii. Kabla sijafungua hili carton naombeni mnipe madhara ya kinywaji hiki.
Mmmh!! Acha hizo.....kweli??Kwa mwanaume ukinywa kama mbili hivi unakuwa na hisia za kike.
hahahhah!! Kweli kabisa huenda ni daktari kama Lyatonga Mrema.
Fafanua.
dr ni hatari sana kama unatumia vichochoe ili usizime wakati wa......vodka ina sedective effect na caffeine ina stimulant effect so nikinywa sizimi
mi jamaa wangu mmoja anatumia RedBull ana changanya na Valeur na Wine kidogo....mademu wanamkoma
sio kweli wewe umehadithiwa! redbull zinaongeza sana idadi ya sperms. ubaya wake ni kwamba hauwezi kuzicontrol. unaweza ukapiga bao tatu za faster mwenzio hata katakatikati hajafika. kama huamini kanywe leo usihadithiwe! ubaya ni kwamba zinaharibu mfumo wa kufikiri na ukishakuwa addicted huwezi fanya kazi mpaka ushtue. ina act kama cocaine nadhani wakati mwinginemimi hizi nakunywa... mara nyingi huwa zinakimbilia kulegeza joint hasa za miguuni..na ukinywa nyingi zinaua kabisa nguvu za kiume...unaweza ukaenda raundi moja kwa shida sana lakini ukimaliza hurudii tena....ushauri unywe wakati umechoka unahitaji nguvu mpya itakusaidia.!
Heshima yenu wakuu. Kuna jirani yangu ameniletea carton nzima ya RedBull na kudai amepewa zawadi ya birthday. Nilipomuuliza kwa nini ananipa carton nzima amedai kaambiwa zina madhara na hivyo hatumii. Kabla sijafungua hili carton naombeni mnipe madhara ya kinywaji hiki.
Mademu wanamkoma au anajikomoa?
sio kweli wewe umehadithiwa! redbull zinaongeza sana idadi ya sperms. ubaya wake ni kwamba hauwezi kuzicontrol. unaweza ukapiga bao tatu za faster mwenzio hata katakatikati hajafika. kama huamini kanywe leo usihadithiwe! ubaya ni kwamba zinaharibu mfumo wa kufikiri na ukishakuwa addicted huwezi fanya kazi mpaka ushtue. ina act kama cocaine nadhani wakati mwingine
dogo umenitisha!kufia ktk gemu.So many wazee ambao bado zile sifa za long time kuwa mtu akiwa kiwembe sana wamedhibitiwa na Energy drinks(Red bulls,shark etc). Hawa wazee na wengine ni wale wanovunja sheria vibaya na kutuacha tukiumia ktk familia kwa vile hakuna cha kuwafanya pale, wanapochukua wake ,dada, mama ,kaka poa, na watoto wetu, wanaotunyang`anya viwanja, kuuwa ndugu zetu huku mikono ya dola ikipata bganzi kuwashika.Hawa jamaa wana migonjwa ya moyo, kisukari etc...na jogoo ni wa kushtua...basi huwa wanabwia aina za vigra+akina Red Bulls+ konyagi ili wavute masaa .Wakitoka hapo mapigo ya moyo yanacheza ktk limits wakiingia ktk game na kabinti kichaa safari inaanza kwa kazi, karibia kupiga bao moyo unaongeza mapigo yanayozidi marginal errors za stabilizer,mzee anapita. Msiwauuze machangu wanafanya tunachokiota, wanafanya kilichoshinda sheria tena kwa makubaliano halali na mtuhumiwa.....malima najua hilo.