Nimekumisije? Hebu calkuleti afu unipe majawabu
Hunifikii mimi mke mwe .....yaani hapa am sure eid itakuwa njema vile nimeuona mwandiko wako mbaya lol..........mie mzima sana mpendwa .......nipigie basi tuongee kwa kirefu !
Nakupigia darling, nakoroga samaki honeyyyyy....
yaani acha, nna umbea kama kapu mbili! Kesho pilau kwa wifi, nahisi atajifungua leo uthiku.
ngoja niongee na MziziMkavu kwanza