Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Naam! Sex imetumika sana kama silaha kali nyakati za vita na wengi wakaangamizwa kwa silaha hiyo.Sex pia inaweza ikatumika kama: Rushwa, zawadi, biashara, silaha etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam! Sex imetumika sana kama silaha kali nyakati za vita na wengi wakaangamizwa kwa silaha hiyo.Sex pia inaweza ikatumika kama: Rushwa, zawadi, biashara, silaha etc
ndio nipo vizuriMkuu umefungua mwaka na Madhumuni ya sex🙆
Uko vizuri😄
Kupata hela.Kuna watu wanaofanya sex kwa madhumuni zaidi ya hayo mawili??
Huyo Mungu hujathibitisha yupo.Madhumuni ya sex ni haya:
1.Kuburudisha mke na mume
2.Kuzaa watoto
Nje ya hapo ni uovu na uasi kwa Mungu
sio madhumuni ya mada hii kuthibitisha yupo au hayupoHuyo Mungu hujathibitisha yupo.
Anayelipia anataka kuburudikaKupata hela.
Nani kakupa mamlaka ya kupanga madhumuni ya ya mada hii?sio madhumuni ya mada hii kuthibitisha yupo au hayupo
Lakini hafanyi mwenyewe, anayelipwa anataka pesa tu.Anayelipia anataka kuburudika
Hata usipobana bana bado utazikwa nayo. Usitake kuwa mama mapozeo.usibane bane sana utazikwa nayo!!
imekuuma sana mimi kumiliki kifudu?? punguza povu relax, heri ya mwaka mpya.Hata usipobana bana bado utazikwa nayo. Usitake kuwa mama mapozeo.
Sidhani. Mbona lakini anapokea pesa pamoja na hatari (Magonjwa) zitokanazo na upokeaji wa pesa?Lakini hafanyi mwenyewe, anayelipwa anataka pesa tu.
Na kwako pia. Asante. Haijaniuma ila naona kujiachia sana nako kuna changamoto nyingi.imekuuma sana mimi kumiliki kifudu?? punguza povu relax, heri ya mwaka mpya.
Mbona watu wengi wanafanya kazi za hatari za kuweza kuwaua kama kubeba madawa ya kulevya yanayoweza kuwapasukia tumboni, kwa sababu wanataka pesa tu?Sidhani. Mbona lakini anapokea pesa pamoja na hatari (Magonjwa) zitokanazo na upokeaji wa pesa?
mimi n mtu ambaye hua sijali kuhusu nani ni nani na anafanya nn, so as long as ameamua kutumia kiungo chake mwenyewe sion haja coz n mtu mzima anajua kibaya na kizurNa kwako pia. Asante. Haijaniuma ila naona kujiachia sana nako kuna changamoto nyingi.
No sir. Point yangu hapo ni kwamba Mpokeaji anataka pesatu; lakini wakati mwingine anapokea hata kile ambacho sio lengo lake i.e. anapokea pia maambukizi.Mbona watu wengi wanafanya kazi za hatari za kuweza kuwaua kama kubeba madawa ya kulevya yanayoweza kuwapasukia tumboni, kwa sababu wanataka pesa tu?
Point yako ni ipi hapa? Kwamba mtu akifanya kazi yenye hatari kubwa hawezi kuwa anafanya hiyo kazi kwa kutafuta pesa tu? Is this your point?
Ndio....Kuna watu wanaofanya sex kwa madhumuni zaidi ya hayo mawili??