Madhumuni ya sex

Madhumuni ya sex

mimi n mtu ambaye hua sijali kuhusu nani ni nani na anafanya nn, so as long as ameamua kutumia kiungo chake mwenyewe sion haja coz n mtu mzima anajua kibaya na kizur
Subiri mwanao aje kua anakitembeza kitaa ndo utajua maana halisi ya hicho ulichokisema
 
Subiri mwanao aje kua anakitembeza kitaa ndo utajua maana halisi ya hicho ulichokisema
jukumu langu ni kumfundisha namna ya kuishi na kubehave kuamua kua nani hizo sio shida zangu ni zake.
 
usipende tufanane kila jambo lea mtoto wako vile unaona inafaa, niache ni wangu mimi sio wako ukiona nafaidi nenda leba kasukume wako umlee utakavyo mbwa ww.
Dah! Mama umekasirika tena? Bora tu ungekuwa umekerwa na mazungumzo kuliko kusema eti naye aende leba akasuk.............. 😎.
 
usipende tufanane kila jambo lea mtoto wako vile unaona inafaa, niache ni wangu mimi sio wako ukiona nafaidi nenda leba kasukume wako umlee utakavyo mbwa ww.
Hhhh matusi ya nn mwanawa adamu ? Shindana kwa hoja
M nabaki kua binadamu tu ata uniite nani hhhhhhh
 
Back
Top Bottom