Madini aina ya Calfornium 1 gram = 27m USD

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2023
Posts
2,705
Reaction score
4,967
Picha lina anaanza.

Wenzetu weupe wanaingia Barani Afrika, nchini NIGERIA katika jimbo liitwalo BORNO (Borno State) na kugundua madini aina ya Calfornium.

Kisha wanaamua kununua eneo kubwa sana huku wakifungua huduma za kijamii kama mashule na mahospital. Then wanaanza kutoa huduma bure kwà watoto wanaoanza shule na kwà wazee matibabu yanakua ni bure kabisa.

Kwenye upande wa mawasiliano:- jamaa wakawa hawatumii simu zenye chip , bali wakawa wanatumia simu ambazo zipo connected directly kwenye satellite + radio calls. Walipendelea sana kufanya kazi zao usiku huku mchana wakiwa busy kutoa huduma za kijamii.

Mara ghafla , wakastukiwa na baadhi ya watu weusi magenius..waafrika wenzetu...wakaamua kuwatuliza kwà kuwapa pesa ndefu + kuwapa exposure ya kwenda USA.

Jamaa wanarudi na kuleakisha details....then mambo yanakua moto

Watu weupe wanaamua kutengeneza kundi liitwalo BHOKO HARAM...na kulifadhili kwà kulipa fedha + weapons etc.

ITAENDELEA!

 
Kazi kweli kweli
 
Unatoa Siri tena mkuu! Watavamia huko na kutimua watu, Siri kama hizi hazitolewi kienyeji!
(kama ni kweli lakini)?!
Majuzi wachina waliuliwa kinyama wakiwa site nchini Congo na kikosi maalum cha Usalama.....baada ya kugundulika jamaa hawakuwa wakandarasi bali walikua wakichimba madini ....

Then kikosi kilichowauwa kikaspread news kuwa wameuliwa na waasi.
 
Mbona kama nayafahamu haya mawe? Nilishawahi kuyaona Chunya na watu wakule wanakwambia ukiona haya yamejaa hapo ujue dhahabu pia ipo. Labda yawe nimeyafanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…