Madini aina ya Calfornium 1 gram = 27m USD

Madini aina ya Calfornium 1 gram = 27m USD

Picha lina anaanza.

Wenzetu weupe wanaingia Barani Afrika, nchini NIGERIA katika jimbo liitwalo BORNO (Borno State) na kugundua madini aina ya Calfornium.

Kisha wanaamua kununua eneo kubwa sana huku wakifungua huduma za kijamii kama mashule na mahospital. Then wanaanza kutoa huduma bure kwà watoto wanaoanza shule na kwà wazee matibabu yanakua ni bure kabisa.

Kwenye upande wa mawasiliano:- jamaa wakawa hawatumii simu zenye chip , bali wakawa wanatumia simu ambazo zipo connected directly kwenye satellite + radio calls. Walipendelea sana kufanya kazi zao usiku huku mchana wakiwa busy kutoa huduma za kijamii.

Mara ghafla , wakastukiwa na baadhi ya watu weusi magenius..waafrika wenzetu...wakaamua kuwatuliza kwà kuwapa pesa ndefu + kuwapa exposure ya kwenda USA.

Jamaa wanarudi na kuleakisha details....then mambo yanakua moto

Watu weupe wanaamua kutengeneza kundi liitwalo BHOKO HARAM...na kulifadhili kwà kulipa fedha + weapons etc.

ITAENDELEA!

View attachment 2651116


Hayo madini hayapatikani naturally kama inavyopatikana dhahabu nk, yenyewe hutengenezwa katika maabara (synthesized) na kutengeneza 1gm ndio inagharimu tatriban $27million.

Nchi ambazo hutengeneza hayo madini ni US na Russia, mimi nashangaa unaposema eti yanapatikana naturally huko Nigeria mbaya zaidi unahusisha na chanzo cha Boko haramu !!.

Tafuta uongo mwingine.
 
You can't be serious 😂
mkuu acha masihara mimi nina mawe kama hayo nimeweka tu nyumbani huko napenda kuyashangaa nikiwa huko, nipe ramani ya soko basi nivute rolls royce kama ya mtoto kutoka tandale sheikh mansour!
 
Watz kwa uongo mmezidi sasa. Kwanza Californium does not occur naturally. Maana yake ni man made. Kwa Kiswahili tunasema hayapatikani ardhini bali yanazalishwa maabara kupitia process inayoitwa paricle bombardement of Plutonium! Hiyo process ni aghali sana na inahitaji utaalam wa juu sana kwa sababu kwanza hayo madini yana mionzi ( radioactive) na yanaweza kusababisha madhara makubwa sana kwa binaadam kiafya( ni madini ya nyuklia).

So far ni sehemu mbili tu duniani zinazalisha Californium ambazo ni Oak Ridge National Laboratory Marekani na Research Institute of Atomic Reactors, Dimitrovgrad huko Urusi. Kwa mwaka ni nusu gram tu ya Californium huzalishwa dunia nzima hivyo kufanya kuwa na scramble ya kuyapata kutokana na kuwa adimu kupita kiasi.

Hivyo basi huu upotoshaji wako wa kusema yanapatikana Nigeria ni uzushi na uzandiki wenye mlengo wa ukurupukaji na upotoshaji.

Sikutaka kuamini hizi propaganda,zaidi alipoleta habari za bokoharamu,wajinga tu ndio watakao amini hizo story zake.
 
Kwa hiyo unamaanisha hayo Madi Ni expensive kuliko Mercury? You can't be serious.
 
Akili za google changanya na za kwako. Usiamini KILA kitu unachokiona Google.

Note: Google ni ya mtu au watu weupe. Usidhani kama unaweza kupata ukweli kamili kupitia hiyo source. Kuna mambo Yako wazi humo na mengine yamepotoshwa ili yasifuatiliwe na watu. Hasa yahusuyo utajiri wa Afrika
Ila tuamini chako?
 
hapo naona cost of producing ndio hiyo 27m/g pengine hiyo inahusu gharama zote na processing[emoji848]
Kwa gharama kama hizo, sio tofauti sana na zile hoja za kupeleka makanika Ulaya au kwingineko for processing! Kwamba hatuna uwezo na mtaji wa kufanya hivyo....na isitoshe, kuwa hatuna miundombinu na karakana za kufanya extraction(in case ya dhahabu) similary na extraction ya hiyo canini sijui.
Hatahivyo, ina maana madini hayo yanapatikana kwa wingi......najiuliza tu hata kama gramu moja ina kosti hayo mamilioni......je, ni shilingi ngapi kuuzwa? au hiyo gramu moja inaweza kuleta faida ya Kiasi gani....hata kama inachukua muda?

Anyways......Bandari yetu ndio madini yetu kwa sasa, niwaachie wanaijeria wapambane, kwa sasa.
 
Picha lina anaanza.

Wenzetu weupe wanaingia Barani Afrika, nchini NIGERIA katika jimbo liitwalo BORNO (Borno State) na kugundua madini aina ya Calfornium.

Kisha wanaamua kununua eneo kubwa sana huku wakifungua huduma za kijamii kama mashule na mahospital. Then wanaanza kutoa huduma bure kwà watoto wanaoanza shule na kwà wazee matibabu yanakua ni bure kabisa.

Kwenye upande wa mawasiliano:- jamaa wakawa hawatumii simu zenye chip , bali wakawa wanatumia simu ambazo zipo connected directly kwenye satellite + radio calls. Walipendelea sana kufanya kazi zao usiku huku mchana wakiwa busy kutoa huduma za kijamii.

Mara ghafla , wakastukiwa na baadhi ya watu weusi magenius..waafrika wenzetu...wakaamua kuwatuliza kwà kuwapa pesa ndefu + kuwapa exposure ya kwenda USA.

Jamaa wanarudi na kuleakisha details....then mambo yanakua moto

Watu weupe wanaamua kutengeneza kundi liitwalo BHOKO HARAM...na kulifadhili kwà kulipa fedha + weapons etc.

ITAENDELEA!

View attachment 2651116
Californium haichimbwi bali inatengenezwa hukohuko majuu!
ACHA KUTUDANGANYA MCHANA KWEUPE!
 
Kwa gharama kama hizo, sio tofauti sana na zile hoja za kupeleka makanika Ulaya au kwingineko for processing! Kwamba hatuna uwezo na mtaji wa kufanya hivyo....na isitoshe, kuwa hatuna miundombinu na karakana za kufanya extraction(in case ya dhahabu) similary na extraction ya hiyo canini sijui.
Hatahivyo, ina maana madini hayo yanapatikana kwa wingi......najiuliza tu hata kama gramu moja ina kosti hayo mamilioni......je, ni shilingi ngapi kuuzwa? au hiyo gramu moja inaweza kuleta faida ya Kiasi gani....hata kama inachukua muda?

Anyways......Bandari yetu ndio madini yetu kwa sasa, niwaachie wanaijeria wapambane, kwa sasa.
hahaha boss ya bandari tutayaweza kweli? hawa wakubwa wakiamua lao tunachoweza kuambulia ni kujifurahisha tu humu sebleni kwa Melo mwisho ni kuimba mapambio tu.
#myTanzania[emoji848]
 
hahaha boss ya bandari tutayaweza kweli? hawa wakubwa wakiamua lao tunachoweza kuambulia ni kujifurahisha tu humu sebleni kwa Melo mwisho ni kuimba mapambio tu.
#myTanzania[emoji848]
Ha ha. Unafikiri isengekuwa kelele hizi kama unavydhania ni "za chura" tungesikia teuzi?
Wanajua tunayaweza, unafikiri hayo majina ya vyeo vyao vitatoka wapi? hiyo mishahara yao itatoka wapi?.... Wanajua na wao mwakani watakuwa humu wakiimba mapambio kana sisi leo tu na hakuna kitu watatufanya....kutesa kwa zamu yakhe!
Hatahivyo inatuongezea dau, badala ya kofia na tisheti labda watatugawia hisa Bandarini😂😂😂😂😁 Matumaini mbele!
Melo mwenyewe naye yumo mumu humu au unafikiri atakula wapi kama sio hizi kelele😁
 
Hayati Magufuli alikua mkali sana mpaka akaamua kuzuia yale makontena ya michanga....Unajua kwanini?


Cause that man's brain was extraordinary!
Ni sawa, kila kwenye Mwamba mpiganaji lazima pia ulaji uwepo.

Alifanikiwa kwa kiasi chake je tuliambulia nini?

Kupambana na hizi nchi za Dunia ya kwanza hakuhitaji mabavu ni akili.

Watu wanapewa pesa nyingi sana lakini wanaishi kuzitunza majumbani na nje ya Nchi.
 
Back
Top Bottom