Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM

Madiwani 11 wa CHADEMA wakiongozwa na Meya wa Jiji la Mbeya wahamia CCM

Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.

Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.

Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
Habari ya DR Masinji kunyimwa mkono na Halima Mdee ina trend kuliko hii Dkt. Mashinji afika Kisutu kusikiliza kesi inayowakabili viongozi wa CHADEMA. Mdee agoma kumpa mkono, Wakili ajitoa kumtetea
 
Baada ya kuungwa mkono na kila aina ya viongozi hata kufikia kuacha vyeo vyao nadhani CCM sasa ina Confedence kuwa inaweza kushinda uchaguzi bila wizi wa kura.

CCM itangaze kudai tume huru ili iwashinde wapinzania waliokimbiwa na wabunge na madiwani.

Tume huru itaifanya CCM iaminike na watu na dunia ijue kuwa CCM inapendwa kwa dhati.

Tume huru ndio iwe kipimo cha kukubalika kwa vyama .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.

Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.

Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
Swali fikirishi je Meya ama madiwani wakijiitoa kabla ya muda wao wakumaliza majukumu yao kisheria marupuru yao wanaweza yapata na km watayakosa je upstairs wako sawa ama huko nyuma ya pazia zipo zaidi 'thinking outside the box'
 
Acheni kutu pumbaza Tunataka kujua issiue ya Lugola. Ni lini mnamfikisha mahakamani? Maana hizi zuga ni za kuwafanya Watanzania wasahau ya Lugola and company.

Hivi CCM chama chenye miaka mingi kwenye siasa kuliko vyama vyote Africa mmefikia mahali pa kusherehekea kupokea wapinzani?

Mna tia aibu. Ni kwamba mmekosa kabsa mbinu mbadala wa kufanya siasa? Nawainea huruma. Maana sasa huku mna bebwa na dola, huku tume ya uchaguzi, kule kununua wapinzani hadi raha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mengine tofauti na kesi ya Lugola hayakuhusu wewe. Komaa na kesi ya Kangi Lugola!!
 
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.

Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.

Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
'When opportunity comes knocking'!

Je hii inaweza kuwa chachu/kichocheo wanachoweza kukitumia CHADEMA kufanya vizuri zaidi?

Kama wanao wanachama zaidi ya hao madiwani wanaoondoka sasa hivi, sioni kwa nini wasifanye vizuri.

Hawa wanaoondoka sasa wanawapa mwanya wa kujipanga vizuri zaidi na kufanya jitihada za ziada kukijenga chama hicho sehemu hiyo.
 
Siasa za kise**
Zinafanywa na ccm.
Wenzio umewafunga mikono na miguu kisha inawapiga za mbavu...

Ndiyo maana ya ule wimbo...

Umevunja kidole cha mwisho ukaacha dole la kati...

Umepiga bomu mochwari kisha unajisifu kuua...nk.

Tutafika tu kwa kutoana roho..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kamanda mbona unapingana na demokrasia? Hahahaha ndio demokrasia hiyo mnayoililia kila leo hahaaha
 
kamanda Kyela Mwakyembe anapita bila kupingwa, msipotubu laana ya Dr.Slaa itawapiga vibaya
Kumbe! Ndio maana makonda alionekana huko mbeya usiku akiongoza magari matatu meusi! Kumbe aliwapelekea pesa za manunuzi! Basi sawa, tulia atapita bila kupingwa na hii itakuwa aibu kwa wanyaki kuongozwa na mwanamke Jambo ambalo halijawahi kutokea katika historian ya wanyakyusa!
 
Titicomb,
Mkakati unafanywa kijanja sana, makonda alikuwa Mbeya kutekeleza hilo. Mkuu dunia haina siri
It doesn't matter! Kwa nini watu wa CAHDEMA wanahamishwa kiurahisi? Hiyo ni ukosefu wa umakini ktk uongozi. Kuna factors nyingi zinazowakatisha tamaa watu kubaki CHADEMA. M/kiti amekuwa ni mtu wa kujidai kujua uongozi na kujitapa kuwa na kampeni za kichinichini. Chini wapi sasa?

btw. Katibu yuko wapi na mbinu mpya? au naye anaagizwa tu bila mbinu zake?
 
It doesn't matter! Kwa nini watu wa CAHDEMA wanahamishwa kiurahisi? Hiyo ni ukosefu wa umakini ktk uongozi. Kuna factors nyingi zinazowakatisha tamaa watu kubaki CHADEMA. M/kiti amekuwa ni mtu wa kujidai kujua uongozi na kujitapa kuwa na kampeni za kichinichini. Chini wapi sasa?

btw. Katibu yuko wapi na mbinu mpya? au naye anaagizwa tu bila mbinu zake?
Adui muombee njaa kwa njaa iliyopo miongoni mwetu nani atakataa donge nono nasikia mmmeanza kutoa mikopo hongereni sana kwa kujipanga vizuri kwa miheraa!
 
Hao Ndugu zetu wameamua
Acheni kutu pumbaza Tunataka kujua issiue ya Lugola. Ni lini mnamfikisha mahakamani? Maana hizi zuga ni za kuwafanya Watanzania wasahau ya Lugola and company.

Hivi CCM chama chenye miaka mingi kwenye siasa kuliko vyama vyote Africa mmefikia mahali pa kusherehekea kupokea wapinzani?

Mna tia aibu. Ni kwamba mmekosa kabsa mbinu mbadala wa kufanya siasa? Nawainea huruma. Maana sasa huku mna bebwa na dola, huku tume ya uchaguzi, kule kununua wapinzani hadi raha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao Ndugu zetu wameamua kujitoa ufahamu,kwao ni shangwe Kamanda hata moja akijitoa mhanga.Wanashwishi au wanalazimisha na vitisho lukuki?
Mbona hatuoni msururu wa wanachama maana hawa walikuwa ni viongozi,inatosha kushawishi viongozi tu?
 
Adui muombee njaa kwa njaa iliyopo miongoni mwetu nani atakataa donge nono nasikia mmmeanza kutoa mikopo hongereni kwa kujipanga vizuri kwa miheraa!
Sasa kama CHADEMA pesa yote inaliwa na M/kiti wengine mulioko mitaani munanufaika na nini? Au hizo T-Shirts za mkutano mkuu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wajinga wapo humu watasema wamenunuliwa!

Hili chama lina watu wanajiuza balaa. Ndio maana hata Mbowe na kina Lisu walijiuza kwa Lowasa ila wao waliuza hadi wafuasi wao kama kina Chakaza, Mmawia, Salary slip nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
1582553269569.png
 
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.

Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa huo ni ugeni mkubwa tangu aanze kupokea Wageni.

Aidha, amesema ameongea na Madiwani hao na kumueleza kwanini wanafanya uamuzi huo wakati huo na amefurahi sana maana kazi yake ni kuifanya CCM kutoa ushawishi na kupata wafuasi kila kona ya Nchi.
Kumbe haina Wafuasi? Hongera ccm kwa biashara nzuri ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom