Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My way of associating myself in politics is far beyond your understanding of the politics, and what it means to support a political party or any politician.Peleka unafiki wako huko kwenu lumumba
In God we Trust
Home boy. Tunatakiwa tuwajuwe. Vita ya democrasia ni kubwa. Sababu adui hawana alama. Vita hii Ni ya kisaikolojia, Hawa hawana msimamo. Inabidi tuwasimamie. Meyor Mwita ana misimo mizuri.Mkuu usihangaike na Wasaliti
Usijitoe akili, ulishawahi kuona suala la mtu kuhama chama linageuzwa kuwa kama biashara ya madawa ya kulevya? Wewe labda kama huna akili, diwani ambaye amebakiza miezi michache amalize kipindi chake alipwe mafao akubali kuachia nafasi yake halafu apoteze hayo mafao yake?Je hao uliwataja hapo juu nao mliwaita wananunuliwa kama mnavyowatuhumu hawa wanaohama sasa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Katibu mkuu anafanya ziara ya kuvuna eeeh.. Haya kila la kheri.. Sasa kubalini uchaguzi wa October uwe huru na haki, ili muone kama manunuzi, vitisho na mikwala yenu itawasaidia kupata kura..
Hakuna haja ya kuwa na wasiwasi. Lowasa alituletea wanachama milioni sita 2015Mkakati wa kuisambaratisha Chadema kwa gharama yeyote ile unaendelea.
Chadema ni mbovu haina sera wala misimamo ya kuwafanya wenye akili kuendelea kukaa hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
ExactlyI told you!
Kuna tatizo kubwa guys.
Wale wenye macho wanaona, wanye fikra za kuona mbali wanaona, wenye masikio wanasikia.
Wenye kukubali ushauri na ukosoaji wataanza kutuelewa tunaopiga kelele kuna tatizo sehemu ndani ya upinzani.
Siamini kama watu wote hawa wana nunuliwa.
Erythrocyte nilisikia Mbeya watu wenye msimamo hawanunuliki sasa hiki sijui ndio nini?!!!
'NASHINDWA KUSHANGAA'.