Alafu wanamwita rais wa wanyonge anaona sifa kumbe unyonge wenyewe umeletwa na unyanyaji na ufisadi wa serikali ya CCM.Aisee ni janga la taifa hii kitu, CCM kazi yao ni kutumia linear equations za kuongeza umaskini, ufukara, ujinga, upumbavu, magonjwa ili waendelee kufanya yao
Hii nchi nayo tunazidi kuwalaumu serikali ๐คฃMashine za kamari na biashara ya pombe kwenye kila duka mitaani ndio umasikini na kaburi la maendeleo ya vijana wa Tanzania.
Hili linadhihirisha ni jinsi gani tulivyo na viongozi wa hovyo wasiojali kwa kulinda maadili ya kizazi na miiko ya uongozi.
Hakuna haja ya kiongozi ikiwa kila mtu ata achwa afanye atakavyo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba kuna ushirikina?Hizo mashine zimetengenezwa kitaalamu kuwafanya wachezaji wawe addicted !
Ukianza kucheza hizo mashine huachi tena maisha yako yote !
Kila ukipata pesa ni lazima uzipeleke kwenye Bonanza !
Mwigulu lazima alaumiwe acha ufala. Kwa nini vifaa vingine ambavyo vinamadhara kwa taifa vinazuiwa kuingia nchini. Lakini madubu anayafagilia.Hii nchi nayo tunazidi kuwalaumu serikali ๐คฃ
Wew mtoto wako unamtuma kazi, anaenda cheza dubu, usimlaumu Mwigulu, jilaumu wew kwa kufeli malezi, tunahitaji kujenga kizazi chenye nidhamu, ambacho hata kikiona madubu mia kinajua kamari sio nzima,
Tujenge kizazi ambacho hata kione bia za bure kret 70 kijue bia nakunywa mwisho 2 nyingine naacha, ila sasa wazazi tunaacha watoto ovyo kisha tunalaumu serikali
Kuna watu wanayapiga hafi laki mbili lakini anakuja kulipwa baadae. Maana mle ndani huwa kama kuna laki na nusu tuHivi hizi mashine, hata ikisema siku imecheua mzigo.wa sarafu, inaweza kutema zaidi ya laki ?
Duh...Kuna watu wanayapiga hafi laki mbili lakini anakuja kulipwa baadae. Maana mle ndani huwa kama kuna laki na nusu tu
Ni utaalamu tu wa zile taa zake na rangi rangi zile zikichanganyika na sauti tofauti tofauti zinazosikika katika kila unapoizungusha mashine ndio zinazokwenda kuuteka ubongo wa mchezaji na kumfanya anakuwa Teja wa hizo mashine !!Sio kwamba kuna ushirikina?
Kabisa kabisa ๐๐ฏ๐Ukizungumza haya watu wanakuonea huna akili , kwamba uwepo wake inakuhusu nini au unakuathiri wapi
Wanashindwa kujua watu wanafikiria jamii yote sio wewe tu , jamii iliathirika na wewe unaathirika
Mtaa ukiwa na vibaka na wezi lazima na wewe utaathirika na janga hilo ima kuibiwa au wanao kujiunga kuwa wadokozi na hatimae vibaka.
Mtu anafoka we inakuuma nini, wewe inakuathiri nini. Hizi mashine zinafanya watu wawe na ubongo ulio lemaa , uwezo unashuka , mtu hafikirii beyond ya hapo kupata kipato anaona ndio njia rahisi na ya haraka kupata hela
Walimu wanacheza tena imekuwa ndio kazi yao. Maana mshahara huwa unakata baada ya wiki tu.Duh...
Basi.hawa walimu wanaolalamikiwa ndio tatizo kwa watoto wetu, watakua wanajifunza kwa walimu wao.
Kwani kufeli form four ndio kufeli maisha?Hili ndilo tatizo la kufeli form 4!
Tatizo lako kichwani hazimo,aliyeongelea kufeli form ni kufeli maisha nani?Kwani kufeli form four ndio kufeli maisha?
WeweTatizo lako kichwani hazimo,aliyeongelea kufeli form ni kufeli maisha nani?
Rudi kwenye swali la msingi felia wewe!Wewe
Pumbavu.Rudi kwenye swali la msingi felia wewe!
Swali la Msingi
Uwepo wa hizo Mashine (Dubwi) wewe binafsi zimekuathiri vipi?
Ukiulizwa swali la msingi unaishia kutukana,kumbe umeleta hoja usiyokuwa na majibu nayo?Pumbavu.
Huna hojaUkizungumza haya watu wanakuonea huna akili , kwamba uwepo wake inakuhusu nini au unakuathiri wapi
Wanashindwa kujua watu wanafikiria jamii yote sio wewe tu , jamii iliathirika na wewe unaathirika
Mtaa ukiwa na vibaka na wezi lazima na wewe utaathirika na janga hilo ima kuibiwa au wanao kujiunga kuwa wadokozi na hatimae vibaka.
Mtu anafoka we inakuuma nini, wewe inakuathiri nini. Hizi mashine zinafanya watu wawe na ubongo ulio lemaa , uwezo unashuka , mtu hafikirii beyond ya hapo kupata kipato anaona ndio njia rahisi na ya haraka kupata hela
Wewe jaribu kufikiria tutakuwa na kizazi Cha aina gani huko mbeleni...!Hizo Mashine wewe binafsi zinakuathiri vipi na uwepo wake?
๐ถ๐ถNi Kweli pesa sina nacheza michezo ya Bahati Nasibu๐ถLeo hii mtoto akitumwa to sokoni lazima aingie chocho kucheza bonanza akiliwa ndio hivyo tena.
Leo hii Walimu wamegeuza mashine za kamari za kichina kama sehemu ya kuongeza kipato wanaliwa mpaka inakuwa kero.
Kila halmashauri hapa nchini madiwani wanajadili namna ya kuziondoa hizi mashine. Tatizo ni Mwigulu Nchemba kupenda ushuru usio wa lazima wakati kuna vyanzo kibao vya mapato.
View attachment 2814179View attachment 2814183