Basi kamati ya wazazi ya kata au kijiji ikimkuta mwalimu anacheza na watoto chini ya miaka 18 wamo ndani. Wamchukulie hatua hata kwaonyo kupitia kilanja wake. Mwalimu mkuu.Walimu wanacheza tena imekuwa ndio kazi yao. Maana mshahara huwa unakata baada ya wiki tu.
Mtu analiwa laki.Wanaliwa sababu mtu anaona 200 ndogo akianza kuziweka nyingi akija kujisasahu ashatia 4000.
HayaHuna hoja
Nimetafuta yakwako uliyoiweka sijaiona mkuu naomba unitag , make mtu asiye na hoja hujibiwa kwa hoja ,Huna hoja
"Pamoja na kelele nyingi kwamba mateso yapo lakini kila kukicha watu wanapanda ndege wanakwenda, na msingi unaowaongoza ni uleule kheri nife nikijaribu kuliko kukaa naangamia bila kujaribu kwa sababu ambazo hazina mashiko, na ndiyo maana serikali zetu zimeingia mikataba hii ili kuweka mazingira mazuri ya watu kwenda, yeyote anayetaka kwenda kufanya kazi nje afuate utaratibu kwa kupata uthibitisho wa hiyo ajira,"- Balozi Abdallah KilimaLeo hii mtoto akitumwa to sokoni lazima aingie chocho kucheza bonanza akiliwa ndio hivyo tena.
Leo hii Walimu wamegeuza mashine za kamari za kichina kama sehemu ya kuongeza kipato wanaliwa mpaka inakuwa kero.
Kila halmashauri hapa nchini madiwani wanajadili namna ya kuziondoa hizi mashine. Tatizo ni Mwigulu Nchemba kupenda ushuru usio wa lazima wakati kuna vyanzo kibao vya mapato.
View attachment 2814179View attachment 2814183
Hizo mashine (Dubwi) uwepo wake umekuathiri vipi wewe binafsi?Nimetafuta yakwako uliyoiweka sijaiona mkuu naomba unitag , make mtu asiye na hoja hujibiwa kwa hoja ,
Mkuu bila shaka unamiliki hayo madudeHizo mashine (Dubwi) uwepo wake umekuathiri vipi wewe binafsi?
Tatizo hujibu hoja unaleta blah blah!Mkuu bila shaka unamiliki hayo madude
Ok tuachane nayo umeshinda mkuuTatizo hujibu hoja unaleta blah blah!
Pumbavu mbwa wewe. Usirudie kucomment uzi wangu wowoteShida Iko wapi!!? Haulazimishwi kucheza acheni tuinjoy Kila mtu na starehe yake
Unatiwa!! Una hati miliki na uzi!!Pumbavu mbwa wewe. Usirudie kucomment uzi wangu wowote
Unafikiri wote tunawaza kwakutumia matako kama wewe!!Pumbavu mbwa wewe. Usirudie kucomment uzi wangu wowote
Mwisho 20,000Hivi hizi mashine, hata ikisema siku imecheua mzigo.wa sarafu, inaweza kutema zaidi ya laki ?
Mbona inasemekana yeye mwenyewe pia anamiliki kampuni ya kamariTatizo ni Mwigulu Nchemba kupenda ushuru usio wa lazima wakati kuna vyanzo kibao vya mapato.