mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Labda kelo zimeisha na imekuwa kama ulaya.Tangu waanze kuhama nini kimeabadilka CHADEMA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kelo zimeisha na imekuwa kama ulaya.Tangu waanze kuhama nini kimeabadilka CHADEMA?
Wanazidi kujitambua na hapo ni bado the mass exodus ya wabunge na madiwani baada tuu ya kuvunjwa Bunge!.Baada ya Humphrey Pole Pole sasa ni zamu ya Kheri James kuipasua ngome ya Chadema huko kaskazini.View attachment 1478655
Huyo ni mmoja wa Waliojiunga leo hii
CCM imewekeza kwenye strategiesWanazidi kujitambua na hapo ni bado the mass exodus ya wabunge na madiwani baada tuu ya kuvunjwa Bunge!.
Naendelea kusisitiza
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P
Utaona tu baada ya octoba ni nini kimebadilika baada ya hao wabunge wenu na madiwani kukitosa hiyo biggest & one way saccoss in Tz.Tangu waanze kuhama nini kimeabadilka CHADEMA?
Baada ya Humphrey Pole Pole sasa ni zamu ya Kheri James kuipasua ngome ya Chadema huko kaskazini.View attachment 1478655
Huyo ni mmoja wa Waliojiunga leo hii
Amesemea wapi?Acha uchochezi bana
CCM imewekeza kwenye strategies
Baada ya Humphrey Pole Pole sasa ni zamu ya Kheri James kuipasua ngome ya Chadema huko kaskazini.View attachment 1478655
Huyo ni mmoja wa Waliojiunga leo hii
Tangu waanze kuhama nini kimeabadilka CHADEMA?
Kaskazini kunawaka moto.
Baada ya Humphrey Pole Pole sasa ni zamu ya Kheri James kuipasua ngome ya Chadema huko kaskazini.View attachment 1478655
Huyo ni mmoja wa Waliojiunga leo hii
Hicho chama kinaisha mithiri ya mshumaa.Walihama lina slaa, wabunge, viongozi wa kitaifa, viongozi wa kimikoa, wilaya, na baadhi madiwani wangine - lakini bado tu chama kinaendelea.