ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Ikitajwa TUME HURU wote mnapata baridi,hivi huo moto huwa unaenda wapi sijui?Moto wa Magufuli ni zaidi ya Moto.
Motroo motroo...nasema mootro mootro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitajwa TUME HURU wote mnapata baridi,hivi huo moto huwa unaenda wapi sijui?Moto wa Magufuli ni zaidi ya Moto.
Motroo motroo...nasema mootro mootro
Hic
Hicho chama kinaisha mithiri ya mshumaa.
Ikitakiwa TUME HURU tu wote mnapata baridi na kuugua, hivi huo moto huwa unaenda wapi sijui wajameni?Moto wa Magufuli ni zaidi ya Moto.
Motroo motroo...nasema mootro mootro
Kumekucha, nafasi zao zishazibwa tayari, akitoka mtu anaingia mtuBaada ya Humphrey Pole Pole sasa ni zamu ya Kheri James kuipasua ngome ya Chadema huko kaskazini.View attachment 1478655
Huyo ni mmoja wa Waliojiunga leo hii
Huwezi kuona kilichobadirika mpaka utakapo chukua akili zako toka uliko kabidhi kwanza mkuuTangu waanze kuhama nini kimeabadilka CHADEMA?
Halafu barua itaandikwa na TLTutaelewana tu,awamu ijayo mwenyekiti wa chadema atajipiga risasi kabisa ili kuonesha mabeberu kuwa Tanzania hakuna demokrasia
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Bado kuna mapigo kadhaa dhidi ya walaghai waliojificha na mwamvuli wa cdmWanazidi kujitambua na hapo ni bado the mass exodus ya wabunge na madiwani baada tuu ya kuvunjwa Bunge!.
Naendelea kusisitiza
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
P