'Madogo' wa miaka ya 2000 kila kitu wanajua wao

Na ni kizazi ambacho hakichagui hakibagui....yeyote ni halali yao.
Na huviambii kitu...havijui maana ya mkubwa au kumweshimu mkubwa wote mko sawa.
Hakika wazazi wapo na kazi kubwa sana ya kuumia mioyo mpaka kaburini.
Wewe mwenyewe ulivyokua 20's ulikua hivyohivyo..!
 
Ninacho wapenda wanakonfidensi sana hata kama ni yakijinga. Lakini wakipigwa msasa vizuri watasaidia sana kuutoa utawala wa shetani sisiemu..
 
Ni wakati wao. Nakumbuka wakati nina miaka 20 mambo niliyokua nayafanya ni tofauti na sasa. Muda wao ukipita lazima watabadilika.
 
Wengi wao ulimbukeni tu..
Hakuna kitu wanajua zaidi ya ujinga uwezi kuta mtoto wa 2000 smart anafanya ujinga ujinga aiseeee....

Au ndgu yangu Vishu Mtata unasemaje maana wewe unapenda sana vitoto vya 2k
Videmu vya buku mbili ni maji mara moja kama maharage ya mbeya, kikubwa uwe na muda tu.
 
Videmu vya buku mbili ni maji mara moja kama maharage ya mbeya, kikubwa uwe na muda tu.
Ahahhaha sio muda pia uwe na vitendea kazi vya kutosha kama korosho, nazi, maziwa mtindi na karanga
 
Mmmh kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…