Wewe mwenyewe ulivyokua 20's ulikua hivyohivyo..!Na ni kizazi ambacho hakichagui hakibagui....yeyote ni halali yao.
Na huviambii kitu...havijui maana ya mkubwa au kumweshimu mkubwa wote mko sawa.
Hakika wazazi wapo na kazi kubwa sana ya kuumia mioyo mpaka kaburini.
Mabuga navaa lakini hapo kwenye usabato nitoe πwewe si msabato hunyoi kisahani unavaa mabugaπ€£
dem huna wewe slopeπ€£Mabuga navaa lakini hapo kwenye usabato nitoe π
Bora umejileta nilitaka nikuite wewe mpenda dada zako waliokupita umri mpk dhambi πΉπ€£π€£Mnakatwa tu nyie bongo maisha yamemshinda kila mtu.
Jipeni moyo.
Aisee,sidhani...aisee hapana cuteWewe mwenyewe ulivyokua 20's ulikua hivyohivyo..!
Viatu vya manyoya sio? Vijana wa sasa hawawezi kukuelewa, maana wao wanaenda na fasheni. Huwa sijawahi kuelewa vile vibegi vidogo wanavyovaaa kiunoni au begani.Waache kuvaa manguo ya kidemu na maviatu ya kishoga.
Ni mitindo ya upinde kabisa.Viatu vya manyoya sio? Vijana wa sasa hawawezi kukuelewa, maana wao wanaenda na fasheni. Huwa sijawahi kuelewa vile vibegi vidogo wanavyovaaa kiunoni au begani.
Kengine haka hapaMnakatwa tu nyie bongo maisha yamemshinda kila mtu.
Jipeni moyo.
Videmu vya buku mbili ni maji mara moja kama maharage ya mbeya, kikubwa uwe na muda tu.Wengi wao ulimbukeni tu..
Hakuna kitu wanajua zaidi ya ujinga uwezi kuta mtoto wa 2000 smart anafanya ujinga ujinga aiseeee....
Au ndgu yangu Vishu Mtata unasemaje maana wewe unapenda sana vitoto vya 2k
Ahahhaha sio muda pia uwe na vitendea kazi vya kutosha kama korosho, nazi, maziwa mtindi na karangaVidemu vya buku mbili ni maji mara moja kama maharage ya mbeya, kikubwa uwe na muda tu.
Sijaelewa mchango wako. Unaweza kueleza vizuri?Mnakatwa tu nyie bongo maisha yamemshinda kila mtu.
Jipeni moyo.
Hivyo vyote vya nini,?? Hivyo mnatumia nyie mnaoendesha semi trailer, nijiue bureAhahhaha sio muda pia uwe na vitendea kazi vya kutosha kama korosho, nazi, maziwa mtindi na karanga
Mkuu kwa sasa nimeachana navyo ila nawasha motrooooo kwa natural powerHivyo vyote vya nini,?? Hivyo mnatumia nyie mnaoendesha semi trailer, nijiue bure
Aaah kwamba wewe ni born talented au sio πππ, vijana mnapaka sana mkongoMkuu kwa sasa nimeachana navyo ila nawasha motrooooo kwa natural power
Mmmh kazi ipoWanaJamiiForums, habarini!
Vilio vya ugumu wa maisha vimezidi kushika kasi siku baada ya siku. Zaidi vilio hivi vinatoka kwenye kundi hili la hawa vijana wa 2000 kuja juu. Ukizingatia ndilo kundi ambalo limemaliza vyuo vikuu na kwa ukubwa lipo mtaani.
Wadogo zetu hawa siwasemi na wala siwalaumu. Naeleza mshangao nilionao kwenye tabia zao mbovu(kwa wengi niliowaona) zinazopelekea 'mabroo' wengi wavunjike moyo wa kuwashika mikono pindi wanapomaliza vyuo.
1. Kila kitu wao wanajua, huna cha kuwaambia.
Wadogo zetu hawa, wao wanajua YOTE na huna cha kuwaambia. Wanakuja kukuomba ushauri ilhali majibu tayari wanayo. Hawashauriki wala hawapangiwi. Jeuri, dharau, kiburi, na kupenda starehe hapa ndipo mahali pake.
2. Makundi ya kipuuzi na 'usela'.
Wadogo zetu hawa wanawalaumu bure tu 'mabroo'. Makundi ya kuvuta bangi na shisha ambayo yamejaa kwenye groups zao za WhatsApp ndiyo mchawi wao.
Kujiliza liza hovyo kwa visichana na kutojitambua kwa wakati. Halafu wakishauriwa wanakuwa wakali. Wao wanajua kila kitu.
'Shobo' za kijinga kwa waliofanikiwa, tamaa na kutoridhika, kutaka maisha ya bata na hawana hela. Haya yanakiharibu sana kizazi hiki cha 2000.
'Madogo' wakiendelea hivi, hasa hili la kutokubali kujishusha na kushaurika, walai vichwa vyao vitakatwa, maana tayari vimeshaelekea kibra.
UnauchimbaAmekufanyia makubwa gani Dorris??
Akikupa nnHuwaa akinipa naona kama nabebwa hvii