Bwana Pascal Mayalla ameandika:
"...., kitu cha ajabu ni kuna madudu fulani ya kiajabu ajabu sana ya kisheria, yamefanyika kwenye sheria zetu!, kwa kutungwa kwa sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba ya JMT ya mwaka 1977!. Mahakama Kuu ya Tanzania, ikatoa uamuzi kuwa hayo ni "madudu" ( neno madudu ni langu sio la mahakama), na madudu hayo yakachomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!."
Tuseme huyu bwana hajui mahali sahihi pa kuyapeleka haya anayodhani kuwa ni mapungufu ili kupatikana ufumbuzi?
Au kama hao anaowatuhumu naye amekaa kimaslahi binafsi zaidi tu?
Kwa msingi huu bwana huyu anasema au hasemi nini kuhusu lolote fyongo ambalo liko kama lilivyo leo?
"Bwana Pascal Mayalla hausomeki. Kutokusomeka kwako kunafanya wajumbe kujiridhisha kwanza kwa kila PDF kuona kulikoni, hujakumbukwa tu?"
"...., kitu cha ajabu ni kuna madudu fulani ya kiajabu ajabu sana ya kisheria, yamefanyika kwenye sheria zetu!, kwa kutungwa kwa sheria batili zinazokwenda kinyume cha katiba ya JMT ya mwaka 1977!. Mahakama Kuu ya Tanzania, ikatoa uamuzi kuwa hayo ni "madudu" ( neno madudu ni langu sio la mahakama), na madudu hayo yakachomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu!."
Tuseme huyu bwana hajui mahali sahihi pa kuyapeleka haya anayodhani kuwa ni mapungufu ili kupatikana ufumbuzi?
Au kama hao anaowatuhumu naye amekaa kimaslahi binafsi zaidi tu?
Kwa msingi huu bwana huyu anasema au hasemi nini kuhusu lolote fyongo ambalo liko kama lilivyo leo?
"Bwana Pascal Mayalla hausomeki. Kutokusomeka kwako kunafanya wajumbe kujiridhisha kwanza kwa kila PDF kuona kulikoni, hujakumbukwa tu?"