Madudu mengine TFF na Bodi ya Ligi

Makendaa

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
271
Reaction score
141
Leo Bodi ya Ligi wametangaza Maendeleo ya Ligi kuu Tanzania VPL pamoja Na Kutoa Adhabu kwa Vilabu/Wachezaji waliokiuka Sheria na kanuni Za Mpira Hapa Tanzania.

Katika Kutoa Adhabu Hizo Nimezipitia Kwa makini na Kugundua Madudu yaliyo fanyika wakati wa Utoaji Adhabu Hizo na Kudhihirisha kuwa Adhabu hizo zilitolewa Na Watu ambao pengine wana Mahaba Na Timu Fulani....

Naomba mpitie hapa..

NB: Nimeifupisha na Kuchukua Yale ambayo nimekuja Kuya zungumzia Hapa.


Wakuu hapa pana kautata kidogo nimezi fuatilia hiz adhabu nikagundua kitu na nimeliona Hili...

Kanuni No 14(9) imetumika kuiadhibu timu ya Stand United kwa kosa la kutokuingia vyumba vya kubadilishia nguo na Faini wakapigwa 500,000 Na kanuni hiyohiyo imetumika Kuiadhibu Timu ya Simba kwenye mechi yao na Yanga Na kwa kosa Hilo La kutokuingia vyumba vya kubadilishia nguo lakini wao Wamepigwa Fain 300,000!

Hiz Faini zinapigwa kwa Upendeleo au wanaangalia Na Timu?

Nawasilisha.
 
Hii ndio Tz. Wanabadilisha kanuni katikati ya msimu wa ligi na timu moja inaanza kutumia kanuni mpya huku timu nyingine zote zikiwa hazina taarifa ya mabadiliko hayo.
Uongozi wa Malinzi umegawa nafasi za kamati kwa kulipa fadhila waliomsaidia kuingia madarakani na matokeo ndio haya sasa.
 
Uongozi wa Malinzi umekamatwa sana na mtu mmoja pale tff Geofrey Nyange Kaburu,
Yeye ndo kila kitu pale tifu tifu malinzi amebaki kama kivuli tu, anaelekea kokote kule anakotaka kaburu.......
 
Uongozi wa Malinzi umekamatwa sana na mtu mmoja pale tff Geofrey Nyange Kaburu,
Yeye ndo kila kitu pale tifu tifu malinzi amebaki kama kivuli tu, anaelekea kokote kule anakotaka kaburu.......

Huu mpira sijui unaelekea wapi kwa mtindo huu na wanafanya vituko Hadi wanajisahau kama kuna watu wanaona.
 

Na kama kutumika ingetakiwa itumike msimu ujao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…