Leo Bodi ya Ligi wametangaza Maendeleo ya Ligi kuu Tanzania VPL pamoja Na Kutoa Adhabu kwa Vilabu/Wachezaji waliokiuka Sheria na kanuni Za Mpira Hapa Tanzania.
Katika Kutoa Adhabu Hizo Nimezipitia Kwa makini na Kugundua Madudu yaliyo fanyika wakati wa Utoaji Adhabu Hizo na Kudhihirisha kuwa Adhabu hizo zilitolewa Na Watu ambao pengine wana Mahaba Na Timu Fulani....
Naomba mpitie hapa..
NB: Nimeifupisha na Kuchukua Yale ambayo nimekuja Kuya zungumzia Hapa.
Wakuu hapa pana kautata kidogo nimezi fuatilia hiz adhabu nikagundua kitu na nimeliona Hili...
Kanuni No 14(9) imetumika kuiadhibu timu ya Stand United kwa kosa la kutokuingia vyumba vya kubadilishia nguo na Faini wakapigwa 500,000 Na kanuni hiyohiyo imetumika Kuiadhibu Timu ya Simba kwenye mechi yao na Yanga Na kwa kosa Hilo La kutokuingia vyumba vya kubadilishia nguo lakini wao Wamepigwa Fain 300,000!
Hiz Faini zinapigwa kwa Upendeleo au wanaangalia Na Timu?
Nawasilisha.
Katika Kutoa Adhabu Hizo Nimezipitia Kwa makini na Kugundua Madudu yaliyo fanyika wakati wa Utoaji Adhabu Hizo na Kudhihirisha kuwa Adhabu hizo zilitolewa Na Watu ambao pengine wana Mahaba Na Timu Fulani....
Naomba mpitie hapa..
NB: Nimeifupisha na Kuchukua Yale ambayo nimekuja Kuya zungumzia Hapa.
Aidha klabu ya Stand United imepigwa faini ya sh. 300,000 (laki tatu) kwa mujibu wa Kanuni ya 14(8) kwa kuchelewa kufika uwanjani kwenye mechi namba 134 dhidi ya timu ya Mbeya City, pia imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki tano) kwa mujibu wa Kanuni ya 14(9) kwa kutoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwenye mchezo huo.
Mchezo namba 117 uliozikutanisha Simba SC dhidi ya Yanga SC kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, timu ya Simba imepigwa faini ya sh. 300,000 (laki tatu) kwa mujibu wa Kanuni ya 14(9) kwa kukataa kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Wakuu hapa pana kautata kidogo nimezi fuatilia hiz adhabu nikagundua kitu na nimeliona Hili...
Kanuni No 14(9) imetumika kuiadhibu timu ya Stand United kwa kosa la kutokuingia vyumba vya kubadilishia nguo na Faini wakapigwa 500,000 Na kanuni hiyohiyo imetumika Kuiadhibu Timu ya Simba kwenye mechi yao na Yanga Na kwa kosa Hilo La kutokuingia vyumba vya kubadilishia nguo lakini wao Wamepigwa Fain 300,000!
Hiz Faini zinapigwa kwa Upendeleo au wanaangalia Na Timu?
Nawasilisha.