bora huyo aliyekosea grammer kuliko wewe unayetoa mambo ya ofisi nje! hivi maadili ya kazi siku hizi mbona ni hovyo sana? hauna tofauti na yule anayetoa siri za ndani (unasema mambo ya mpz wako hadharani)
kweli wewe ulipewa nafasi kwa bahati mbaya
siyo huyo tu,,,,sasa naanza kuamini product za mzumbe nazo feki,,,kuna mfanyakazi mwenzangu mmoja,asubuhi na mapema unamkuta kavaa sunglasses,anaenda ofisini,hamna hata jua.alafu mchana mida ya lunch namkuta amezivua...Mzumbe vijimambo 2pu
we jamaa utakuwa mbea sana..na inaonekana kila cku huwa unasutwa c ofisin tu hata huko unapoishi...na kazi yenyewe utakuwa umebebwa tu na m2 coz huna cfa za kuwa mfanyakaz ofsn,kwan english ndo ina dr na cr? badilika tofautisha profesional za watu cha umbea mkubwa ww...
Mzumbe ni chuo cha tarafa.Bado hujaona ya kile chuo cha kata DODOMA ambacho ukiingia getini tu unakutana na mnara wa CCM.Unategemea wahitimu wake watakua na tofauti na ccm??.Hili ni janga tunahitaji kulijadili kwa upana wake
what goes around,comes around,huu ndio utamu wa jf
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.
unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
Mwanzo wa sentensi tunaanzaga na herufi kubwa! Jf chunguu.
Siwezi kushangaa ya mzumbe!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.
unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.
unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.
...........nawaibia kidogo tu!
"....... I has a bachelar in accounts and finance...."
Hapo kwenye RED, ni kiswahili au ki-nyumbani??
Hata mimi nimeshangaa sana hicho kichwa cha somo. Sasa anamkosoa nini huyo mhitimu wa Mzumbe?Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.
unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong
Mzumbe ni chuo cha tarafa.Bado hujaona ya kile chuo cha kata DODOMA ambacho ukiingia getini tu unakutana na mnara wa CCM.Unategemea wahitimu wake watakua na tofauti na ccm??.Hili ni janga tunahitaji kulijadili kwa upana wake