yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
bora huyo aliyekosea grammer kuliko wewe unayetoa mambo ya ofisi nje! hivi maadili ya kazi siku hizi mbona ni hovyo sana? hauna tofauti na yule anayetoa siri za ndani (unasema mambo ya mpz wako hadharani)
kweli wewe ulipewa nafasi kwa bahati mbaya
hahahaha kaka kweli umenkumbusha,moja ya ethics za mtumishi ni confidentiality...jamaa hana kabisa huyu.