Hiavi mtu akitak kujua kuwa watoto wetu ma ofisini wako hivi inabidi aangalie wapi-naomba msaada,mimi niliona huyu hakutaja jina la ofisi ila ametusaidia sisi kujua tukazanie watoto wetu huku tukiwapa mifano kama hii,kumbe ukiona mtu kaja kwenye interview na kaptula huruhusiwi kulisema kwa sababu ya ethics za utumishi?au unalisema kusudi tuwaambie watoto wetu wajifunze?[/QU
lengo ni kujenga sio kubomoa!
Wachina wanaendelea kwa kutumia lugha yao, sisi tunakomaa na lugha za wenzetu tu, sisi tumebaki kuchekana kwa lugha ambazo sio zetu.... hata inapotokea unajifunza kuongea mpaka unaogopa kuongea mbele za watu kuofia ukikosea utachekwa, na hii ni moja ya sababu ya kufanya wengi wasijuwe kiiengereza...
Usitegemee ukajifunzie english chuoni, ukichesha form 1 hadi 3 imekula kwako..huko mbele unakutana na maneno ya kiingerza na sio kujifunza moja kwa moja labda uwe unasoma language
Wakuu habari, maoni yangu:
1. Mleta uzi amenukuu kinachosemekana ni barua ya maombi ya kazi toka kwa 'mhitimu wa Mzumbe.' Hivi nani anaweza kuthibitisha kuwa hiyo ni barua ya huyo mhitimu na sio ya mhitimu wa chuo kingine au ya kutungwa na mleta uzi? Maana hapo hakuna ushahidi wowote unaothibitisha hicho alichosema mleta uzi.(Kwa kuwa mleta uzi ameamua kuvunja maadili ya kazi kwa kutoa siri za kazi angekuwa mkweli angetoa nakala ya hiyo barua watu waone)
2.Yawezekana mleta uzi ni mwanafunzi katika chuo anachokifahamu yeye mwenyewe akiwa na mawazo kuwa akikashfu wahitimu wa vyuo vingine yeye ataonekana bora.
3.Ikiwa mleta uzi ni mfanyakazi basi ni janga kwa mwajili na kwa taifa maana anachukulia kirahisi suala la uvunjifu wa maadili ya kazi hususani utoaji wa siri za ofisi nje.
4. Jamiiforums ni mahali pa mijadala yenye kulisha akili, kupanua uwezo wa kufikiri na kuleta hoja bora kwa maendeleo ya taifa letu. Mjadala kama huu hapa hautimizi malengo ya jamiiforums, pia hausaidii taaluma wala elimu hapa Tanzania. Nawiwa kusema ni uzi wa kitoto ulioletwa na mleta uzi mtoto aliye na nia ovu dhidi ya taifa letu na wahitimu wa vyuo vingine. Nasema hivi kwa kuwa mleta uzi angekuwa na nia njema angejadili kwa mapana tatizo la kiingereza kwa wahitimu mbalimbali, na hapo wachangiaji wangechangia maoni chanya bila kukashifiana.
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.
...........nawaibia kidogo tu!
"....... I has a bachelar in accounts and finance...."
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini.
...........nawaibia kidogo tu!
"....... I has a bachelar in accounts and finance...."
Re: Maduu ya wahitimu vyuo vikuu.
unajua ukitaka kukosoa na wewe uwe smart, sasa angalia title ya post yako, hapo nilipo bold ulimaanisha nini?
anyways its "slip of pen" bana
afterall huyo mtu kasoma accounting and finance, hajasoma english
kumbuka pia hiyo ni third laguage kwake, so nothing wrong