3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Tafakari zaidiMbona unazimwa mara nyingi tu. Kwani tulipokuwa huru tulitegemea kitu kutoka Tanganyika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafakari zaidiMbona unazimwa mara nyingi tu. Kwani tulipokuwa huru tulitegemea kitu kutoka Tanganyika?
Wakutafakari ni nyinyi kwani Karma imeanza kuwatesa. Mtaweka walinzi mpaka wa kulinda visiki vya mihogo hata bado 😝😝😝Tafakari zaidi
Unataka tuweke majini kama yale mnayoyafuga na kuzaa nayo?Wakutafakari ni nyinyi kwani Karma imeanza kuwatesa. Mtaweka walinzi mpaka wa kulinda visiki vya mihogo hata bado 😝😝😝
Unataka tuweke majini kama yale mnayoyafuga na kuzaa nayo?
Zanzibar sio nchi, ni mkoa tu kama sio koloni letu.Bila shaka nitakuwa chizi , ni mpaka nchi yangu Zanzibar itapokuwa huru ndiyo akili zitarudi. 😝😝
Ni nchi iliyotekwa na Tanganyika na kufanywa ngawira katika juhudi Za Laanatullahi Nyerere Za kuupiga vita uislamuZanzibar sio nchi, ni mkoa tu kama sio koloni letu.
Kama unajali kuhusu uislamu basi mshukuru Nyerere kwa kuwafurushia John Okello, sisi tunamlaumu kwa hilo tu.Ni nchi iliyotekwa na Tanganyika na kufanywa ngawira katika juhudi Za Laanatullahi Nyerere Za kuupiga vita uislamu
John Okello hakufurushwa na Nyerere. Alitaka kuchukuwa madaraka . Hakujua kuwa aliwekwa mbele tu kutumiliwa.Kama unajali kuhusu uislamu basi mshukuru Nyerere kwa kuwafurushia John Okello, sisi tunamlaumu kwa hilo tu.
Nyerere Against Islam in Zanzibar and Tanganyika — Mwalimu Julius K. NyerereKama unajali kuhusu uislamu basi mshukuru Nyerere kwa kuwafurushia John Okello, sisi tunamlaumu kwa hilo tu.
Wazanzibari hatumbagui mtu. Tunadai Nchi yetu iliyovamiwa na Tanganyika. Mbona hatuisemi Kenya au nchi nyengine?Ni kwa kuwa hawajatuvamiaUzi mzuri,lakini umeleta Utanganyika na Uzanzibari
Acheni kubaguana
Hii ni chuki KWA Mwalimu tu
Uislamu ni ukoloni (usultani) hivyo uhuru haukuwa na maana bila kuukanyagia mbali, ndiyo maana hata leo mnataka mjinasue Tanganyika ili mkajiunge Oman…. hili ni kosa kubwa Nyerere alifanya.
Hata Mimi ushangaa eti mwizi anapelekwa mahakamani kufanya nini.Nasisitiza: walinyang'anywa silaha na uhai wao. Watu wa hivyo hawastahili kuishi.
Nyie nao mmezidi kumtukuza huyo bwana wenu,ujambazi haujawahi kuisha wala kupungua nchi hii kwanza yeye mwenyewe ndio kwanza aliwapa nafasi na vyeo.Wamerudi tena!
Enzi za Magu hao wapumbavu walinyang'anywa silaha wote
Sikuongezwa mshahara miaka sita, sikupandishwa daraja kwa miaka sita na sikulipwa pesa za likizo kwa wakati.
Magufoool alikuwa mshamba sana.
Bila ya shakaPunguza hasira mkuu,
Kwani ulitumbuliwa?