Maduka ya GSM hayana jezi mpya za Yanga

Maduka ya GSM hayana jezi mpya za Yanga

[emoji23][emoji23][emoji23] msitutoe kwenye reli,mbona ata Mo ni Yanga,Simba ni biashara ya familia kwa hyo hana budi kuifanya kwa ufasha
hujijui kama hujui jombaa.Mo sio Yanga utachekwa.
 
View attachment 1912650
Jezi zenyew zina vibwengo kama wote

Jamaa wanaenda tambikia nazo
Kolo tunakuelewa msisahau na hili
JamiiForums-739198275.jpg
 
hakuna kitu km hcho,watu tunakosa jezi hadi uende kkoo unaona ni sawa hyo.
Na yy mwenyewe gsm hana jez kwenye maduka yake unaona ni sawa hyo.Huwez ukasema coz ni biashara bas umpe competitor wako,hyo big NO,coz anaweza kukuhujum pia.
Na nilichosema sio asipewe ila kwenye maduka ya gsm jezi zilitakiwa ziwepo sio kuambiwa mzigo wte umechukuliwa na mtu mmoja ambae ni competitor wake.
Yani leo gsm akanunue jezi zote za Simba kwa vunja bei halafu supply inakuwaje apo?si anaweza amua akafungia ndan tu

Kipindi kile cha Magazeti ya Mengi yalivyokua yakimuandika Manji khs mambo ya ufisadi Manji alikua anayanunua magazeti yote asubuhi ukienda vibandani huyakuti.Unadhani Mengi aliwahi kupata hasara kwa magazeti yako yote kununuliwa na habari alieokusudia kufikia wananchi kutokufika?
 
chief lengo sio kuingiza pesa tu,lengo pia ni kukuza brand ya klabu.Washabik hawana jezi mpya,mtu kanunua kazifungia ndani au kwenda kuuzwa kwa bei ya ulanguzi.Hzo ni hujuma katka biashara.
Lazima gsm kama main supplier abaki na mzigo .Unakuwaje main supplier na hauna mzigo.
usichoona ni kwamba ukimpa mtu mmoja na ww huna jezi uwezekano wa hyo mtu kutengeneza jezi fake na kuuza kwa faida zaidi ni mkubwa sana tofaut na jezi zingekuwa kwenye maduka yao.
Na navyokwambia distribution haipo maana jezi haziwafikii walengwa.
Navyosikia jezi za njano zenye watuwatu ambazo zimeonekana kupendwa hazipo,je ni kweli zimeisha au ndio yanatengenezwa mazungira ya kufanya demand kuwa kubwa ili kuinfrate bei?

Bila shaka kwny huo ulanguzi GSM anajua anafaidikaje.Ukienda kwny boti za bakhressa za kwenda Zenji pale ofisini kwao wanakwambia tiketi zimeisha kuna mtu alizinunua zote na wanakuelekeza kwa mtu huyo.Ulifika hapo kwa huyo jamaa anakupiga kwa bei ya ulanguzi.

Hua naamini Co. Ya bakhresa inafaidika na jambo hilo la ulanguzi.
 
Kiukweli nimeshangazwa.
Nimeenda kununua jezi mpya za Yanga GSM mlimani city nikaambiwa jezi hakuna na zinapatikana sehem moja tu Sandalend kariakoo sababu Sandalend kanunua mzigo wote wa kwanza wa jezi.
Kiukweli nimestaajabu.
Kwa hyo hauwez kupata jezi had uende kariakoo au maeneo ambayo wameuziwa jezi na Sandalend.

Lakini cha ajabu ni kuwa GSM yeye kwenye maduka yake hana jezi halafu mnataka tununue jezi original.

Hivi hyo Sandalend ambaye pia ni mtu wa Simba akiamua kuchakachua hzo jezi tutamlaumu kweli?

Pamoja na kutaka pesa ila GSM unatakiwa uwe na jezi kwenye maduka yako yote muda wote.

Kwa kifup distribution ya hzo jezi haijakaa sawa,lifanyieni kazi.

Biashara haina impaka ndugu yangu, worldwide
 
Jezi kiukweli zimeisha jana imefikia atua watu wanauziana jezi elfu 70 tena karikaoo iyoiyo
 
Jezi kiukweli zimeisha jana imefikia atua watu wanauziana jezi elfu 70 tena karikaoo iyoiyo
Sasa haya ndio madhara yake nayoongelea.
Mi naongea km mshabiki na sio upande wa kibiashara.Kibiashara hakuna shida.
Just imagine sukari ilivyopoteaga na watu tukawa tunauziwa had elfu 5 kwa kilo lkn sababu kuna watu walikuwa wameificha.Mfanyabiashara anafaidika coz anatengeneza faida zaidi ila mlaji unateseka.
 
Kiukweli nimeshangazwa.
Nimeenda kununua jezi mpya za Yanga GSM mlimani city nikaambiwa jezi hakuna na zinapatikana sehemu moja tu Sandalend Kariakoo sababu Sandalend kanunua mzigo wote wa kwanza wa jezi.
Kiukweli nimestaajabu.

Kwa hiyo hauwez kupata jezi had uende kariakoo au maeneo ambayo wameuziwa jezi na Sandalend.

Lakini cha ajabu ni kuwa GSM yeye kwenye maduka yake hana jezi halafu mnataka tununue jezi original.

Hivi hyo Sandalend ambaye pia ni mtu wa Simba akiamua kuchakachua hzo jezi tutamlaumu kweli?

Pamoja na kutaka pesa ila GSM unatakiwa uwe na jezi kwenye maduka yako yote muda wote.

Kwa kifupi distribution ya hizo jezi haijakaa sawa, lifanyieni kazi.
U r right budd.
 
Kiukweli hii kitu hata Mimi imenikwaza, GSM shops hawana Jezi, huko mtaani zinapatikana kwa Bei ya ulanguzi, na hii inatoa mwanya kwa mzigo feki kupenyezwa.
Ni sold out ule Uzi ni noma aisee kwa kweli ile Jersey ya yanga hasa ile yenye viwatu watu ni kali sana najua zitapatikana hata wenyewe hawakujua kama mwitikio ungekuwa mkubwa namna hii mwenyewe nimeikosa
 
Back
Top Bottom