Maduka ya Uchumi walipofunga TZ, mlishabikia sana humu, sasa na hawa wengine mnawacheka?

Maduka ya Uchumi walipofunga TZ, mlishabikia sana humu, sasa na hawa wengine mnawacheka?

Ni ZWAZWA tu ambaye hawezi kuona uchumi wa Tanzania ulivyoanguka. Mapato ya TRA yameshuka hadi bilioni 600 kwa mwezi lakini Serikali inaficha hili lakini mnashangilia kuanguka uchumi wa Kenya kweli nyani haoni kundule. Unadhani kwanini Serikali inaficha hali halisi ya uchumi wa Tanzania? Wanakopa mapesa chungu nzima kwa riba kubwa tena kwa kificho na kuzidi kuliongeza deni la Taifa ambalo nalo linafichwa eti tunalipa 950 billioni kwa mwezi wakati si kweli ni uongo mtupu. Mchawi mbona anajulikana ni huyo dikteta uchwara asiyetaka kushauriwa na sera zake MUFILISI.
Acha kutuletea mambo ya udaku hapa, kuna sehemu ya udaku ninahisi kutakufaa zaidi kuliko hapa, kama unauhakika na hayo unayosema tunaomba utupe ushahidi badala ya kusikiliza maneno ya akina Zitto na kutuletea hapa, lete ushahidi wa hayo mapato kwa mwezi umeyajuaje kama TRA haijatangaza?, sisi sio wadaku kama wewe, kama hayajatangazwa ina maana hatujui, acha kuleta maneno ya mtaani hapa ni hoja zilizo na ushahidi.
 
Hizo Super market na up market retailers zote hazikupswa hata kufunguliwa Tanzania kwanza kama ukiniuliza mimi, na hili halina uhusiano na nani ni Raisi wa Tanzania, Tanzania kwa sasa hatuna middle class ya kuweza kusupport hiyo industry huwo ndiyo ukweli, mfano tu watu wanaoweza kutoa 500 USD kununua Kifaa cha umeme kama friji, Jiko au sijui washing machine Tanzania hawafikii hata 0.5% sasa unawezaje kuendesha shopping malls kwenye nchi ambayo ina purchasing power ndogo namna hiyo?

Kwa maoni yangu hawa watu hawakupaswa hata kuja Tanzania, bado hatujafikia huko!
Mbona the game wanafanya biashara huu unakaribia mwaka wa kumi sasa, tsn wanafanya vizuri tu na private supermakets nyingi zinafanya vizuri, hao Nakumatt, Uchumi wameanza kufanya vibaya kuanzia kwao Kenya, Uganda na mwisho Tanzania, je kufilisika kwa KQ, mtasemaje?, ki ukweli uchumi wa Kenya unapitia wakati mgumu sana, hiyo ndiyo sababu kubwa
 
Mbona the game wanafanya biashara huu unakaribia mwaka wa kumi sasa, tsn wanafanya vizuri tu na private supermakets nyingi zinafanya vizuri, hao Nakumatt, Uchumi wameanza kufanya vibaya kuanzia kwao Kenya, Uganda na mwisho Tanzania, je kufilisika kwa KQ, mtasemaje?, ki ukweli uchumi wa Kenya unapitia wakati mgumu sana, hiyo ndiyo sababu kubwa


Kwa kuwa tu wako wazi haimaanishi kwamba wanafanya biashara nzuri, huwezi kujua wanabreak even sehemu gani nyingine nje ya hapo, lkn purchasing power ya Tanzania yetu ni ndogo sana huo ndiyo ukweli, au labda niweke hivi, siyo kwamba hatuwezi kuwa na supermarkets ila soko letu ni dogo kuweza kumudu supermarkets nyingi, hivyo kama TSN na game wanatoboa basi ina maana wameshadaka wateja wachache waliopo na hakuna nafasi kwa supermarkets nyingine, ...
 
Which economic and political analysts have predicted Kenya's collapse?
Moody's? Duh! What is the size of the Japanese, UK, US, SA debt relative to their gdp? U really think Kenya's worst case scenario?

And really, Moody's have predicted the collapse of the Kenyan economy? A country posting 5 or 6% growth pa?

See the smoker!
Soma report ya Moody kwa undani uielewe yote, wao wanafahamu hayo yote ya madeni ya japan na Marekani? Kwanini hawana wasiwasi na nchi hizo zote badala yake wanaitaja Kenya?, ni sawa na kusema Chris Kirubi amekopa 80% ya utajiri wake, na bado banks zinamtafuta aendelee kukopa, wewe ukienda bank hata kama huna deni kabisa lakini kupewa mkopo ni shida, Japan=Kris Kirubi; Kenya=wewe
 
Kwa kuwa tu wako wazi haimaanishi kwamba wanafanya biashara nzuri, huwezi kujua wanabreak even sehemu gani nyingine nje ya hapo, lkn purchasing power ya Tanzania yetu ni ndogo sana huo ndiyo ukweli, au labda niweke hivi, siyo kwamba hatuwezi kuwa na supermarkets ila soko letu ni dogo kuweza kumudu supermarkets nyingi, hivyo kama TSN na game wanatoboa basi ina maana wameshadaka wateja wachache waliopo na hakuna nafasi kwa supermarkets nyingine, ...
Mawazo ya kukata tamaa hayo, inamaana kwa sababu Bar ni nyingi watu hawawezi kufungua zingine, au kwa sababu Buses za usafiri ni nyingi basi watu wasianzishe biashara?, unajua maana yw market penetration, siku zote competitors wanatengeneza mazingira yq kuhakikisha anamiliki soko, ukishindwa kupambana naye utafunga biashara na kusema wateja ni wachache, mbona huzungumzii uchumi na Nakumatt kushindwa Kenya na Uganda, au huko kote hakuna wateja kama Tanzania?
 
Mawazo ya kukata tamaa hayo, inamaana kwa sababu Bar ni nyingi watu hawawezi kufungua zingine, au kwa sababu Buses za usafiri ni nyingi basi watu wasianzishe biashara?, unajua maana yw market penetration, siku zote competitors wanatengeneza mazingira yq kuhakikisha anamiliki soko, ukishindwa kupambana naye utafunga biashara na kusema wateja ni wachache, mbona huzungumzii uchumi na Nakumatt kushindwa Kenya na Uganda, au huko kote hakuna wateja kama Tanzania?


Ndio ukweli wenyewe, sasa kama unapingana na GDP per capital ya Tanzania sasa siwezi kukusaidia!
 
Si kila investor anayefunga biashara kwenye nchi Fulani tatizo ni sera za nchi hiyo wengine Ni upumbavu wao Tu.

Mfano Imalaseko supermarket si walifunga biashara Kenya kwa hiyo tuseme sera za Kenya Ni mbovu?

Hao Uchumi kila nchi waliyowekeza wanafungasha mfano juzi Tu wamefunga Uganda.

Hao jamaa hata kama hizo sera wangetunga wao bado wangeshindwa Tu sababu hawajielewi.
 
Akili zako za ZWAZWA peleka huko huko kwa MAZWAZWA wenzio mtaa wa lumumba. Ushahidi nimeshaweka humu wa kutosha mara nyingi wa kuonyesha uongo mkubwa wa Serikali hii. Wanakuja na bajeti hewa ya 29 trillions halafu wanaishia kutoa 35% lakini Bunge la MACCM kimyaa likimuogopa dikteta uchwara.

Bajeti ya 2017/18 kuwa shilingi trilioni 31.7

http://m.ippmedia.com/sw/habari/bajeti-ya-serikali-ni-hewa

Acha kutuletea mambo ya udaku hapa, kuna sehemu ya udaku ninahisi kutakufaa zaidi kuliko hapa, kama unauhakika na hayo unayosema tunaomba utupe ushahidi badala ya kusikiliza maneno ya akina Zitto na kutuletea hapa, lete ushahidi wa hayo mapato kwa mwezi umeyajuaje kama TRA haijatangaza?, sisi sio wadaku kama wewe, kama hayajatangazwa ina maana hatujui, acha kuleta maneno ya mtaani hapa ni hoja zilizo na ushahidi.
 
Akili zako za ZWAZWA peleka huko huko kwa MAZWAZWA wenzio mtaa wa lumumba. Ushahidi nimeshaweka humu wa kutosha mara nyingi wa kuonyesha uongo mkubwa wa Serikali hii. Wanakuja na bajeti hewa ya 29 trillions halafu wanaishia kutoa 35% lakini Bunge la MACCM kimyaa likimuogopa dikteta uchwara.

Bajeti ya 2017/18 kuwa shilingi trilioni 31.7

http://m.ippmedia.com/sw/habari/bajeti-ya-serikali-ni-hewa
Mjinga mkubwa wewe, Geza ulole amenishauri niachane na wewe otherwise ningekupa somo la bajeti na utoaji wa fedha, kichwa chako kimejaa makamasi huna unalojua, mimi nimekuambia lete ushahidi kwamba TRA inakusanya 600M kwa mwezi, wewe unaleta pesa inayotolewa, pimbi mkubwa
 
Akili zako za ZWAZWA peleka huko huko kwa MAZWAZWA wenzio mtaa wa lumumba. Ushahidi nimeshaweka humu wa kutosha mara nyingi wa kuonyesha uongo mkubwa wa Serikali hii. Wanakuja na bajeti hewa ya 29 trillions halafu wanaishia kutoa 35% lakini Bunge la MACCM kimyaa likimuogopa dikteta uchwara.

Bajeti ya 2017/18 kuwa shilingi trilioni 31.7

http://m.ippmedia.com/sw/habari/bajeti-ya-serikali-ni-hewa
Wewe jamaa kwa kupandikiza uzi,sasa mambo ya bajeti yameingiaji umu? Wakati uzi unamuongelea mambo mengine kabisa.
 
Huwezi kuelewa akili finyu. Hujui ukusanyaji wa mapato unaathiri vipi bajeti ya Taifa. Tunadanganywa kwamba mapato ni makubwa lakini ikija kwenye bajeti hela hakuna! Serikali inaishia kutoa less than 50% ya bajeti husika bila kuweka wazi sababu husika za kushindwa kutoa 100% ya bajeti na hapo hapo tunaambiwa uchumi unakuwa kwa more than 6% kila mwaka! Uchumi hewa wa Wadanganyika. Wapumbavu nchi hii ni mtaji mkubwa sana wa chama cha wahuni na mafisadi.

Wewe jamaa kwa kupandikiza uzi,sasa mambo ya bajeti yameingiaji umu? Wakati uzi unamuongelea mambo mengine kabisa.
 
Si kila investor anayefunga biashara kwenye nchi Fulani tatizo ni sera za nchi hiyo wengine Ni upumbavu wao Tu.

Mfano Imalaseko supermarket si walifunga biashara Kenya kwa hiyo tuseme sera za Kenya Ni mbovu?

Hao Uchumi kila nchi waliyowekeza wanafungasha mfano juzi Tu wamefunga Uganda.

Hao jamaa hata kama hizo sera wangetunga wao bado wangeshindwa Tu sababu hawajielewi.
Tukubali hali ya uchumi Afrika imebadilika....hasara angalau kila kona kuanzia South Africa (Airline), Nakumatt, KQ na Wapiga dili nchini. Trump nae kabana midola ya msaada Afrika
 
Tukubali hali ya uchumi Afrika imebadilika....hasara angalau kila kona kuanzia South Africa (Airline), Nakumatt, KQ na Wapiga dili nchini. Trump nae kabana midola ya msaada Afrika
Wewe BAK kichwa chako kinamatatizo sana, na tatizo kubwa huwa huna uwezo wa kufanya analysis badala yake unasikiloza maneno ya wabunge ambao wengi akili zao ni finyu kama zako, ngoja nikuelimishe uone ulivyomjinga.

Bajeti ikipitishwa bungeni haina maana miradi yote itakamilika ndani ya mwaka ule wa bajeti, mwaka 2016 serikali ilitenga trilioni moja katika mwaka ule kwa ajili ya ujenzi wa SGR, lakini ujenzi umeanza mwaka huu, ina maana japo pesa zilitengwa mwaka 2016 lakini zilitolewa mwaka 2017, kwa hiyo ukiangalia kwa ufinyu wa mawazo kama kichwa chako kibovu kilivyo, utasema serikali ilitoa pesa kidogo katika mwaka 2016, pesa zinatengwa lakini hazitoki hadi mradi au uanze au manunuzi yafanyike, vivyo hivyo katika wizara mbalimbali, procurement procedures kawaida ni ndefu zinaingia mwaka wa pili wa bujeti, lakini pesa ni za mwaka uliopita.

Kama mwaka jana serikali imetoa 35% haina maana haina pesa, pesa zimeshatengwa, ndiyo sababu kama mradi ulishapangiwa bajeti mwaka jana, huwezi tena mradi huo huo ukapangiwa bajeti tena mwaka huu, pesa yake ilishawekwa mwaka jana ni swala la utekelezaji na ufuatiliaji tu, acha kusikiliza maneno ya wabunge wasio na akili
 
Soma report ya Moody kwa undani uielewe yote, wao wanafahamu hayo yote ya madeni ya japan na Marekani? Kwanini hawana wasiwasi na nchi hizo zote badala yake wanaitaja Kenya?, ni sawa na kusema Chris Kirubi amekopa 80% ya utajiri wake, na bado banks zinamtafuta aendelee kukopa, wewe ukienda bank hata kama huna deni kabisa lakini kupewa mkopo ni shida, Japan=Kris Kirubi; Kenya=wewe


I know the report u are talking about, where did they say Kenyan economy is on the verge of collapsing?
Go read Moody's and Finch's assessment on SA, Nigeria, Italy, Spain, Greece ndio urudi hapa utuambie if Kenya is really that bad.

These are really strange times in Kenya...politically. So, kindly allow me nurse my apprehensions in peace!
 
I know the report u are talking about, where did they say Kenyan economy is on the verge of collapsing?
Go read Moody's and Finch's assessment on SA, Nigeria, Italy, Spain, Greece ndio urudi hapa utuambie if Kenya is really that bad.

These are really strange times in Kenya...politically. So, kindly allow me nurse my apprehensions in peace!
There will be no professional report which will mention a word collapse, but that is very unprofessional and inhuman, but if you read between the lines, you will see it
 
Huwezi kuelewa akili finyu. Hujui ukusanyaji wa mapato unaathiri vipi bajeti ya Taifa. Tunadanganywa kwamba mapato ni makubwa lakini ikija kwenye bajeti hela hakuna! Serikali inaishia kutoa less than 50% ya bajeti husika bila kuweka wazi sababu husika za kushindwa kutoa 100% ya bajeti na hapo hapo tunaambiwa uchumi unakuwa kwa more than 6% kila mwaka! Uchumi hewa wa Wadanganyika. Wapumbavu nchi hii ni mtaji mkubwa sana wa chama cha wahuni na mafisadi.


Haya sasa ona ripoti ya TRA toka Julai hadi September hiyo hapo, wastani kila mwezi ni 1.2 tril. Wewe ni mtu wa hovyo sana, kazi yako ni umbeya kusikiliza makelele ya Zitto bila kutafuta taarifa, sasa uliposema makusanyo ni 600M ulitoa wapi?, angalia usije ukaolewa kwa kusikiliza maneno ya vijiweni
 
Back
Top Bottom