Kupewa Rushwa na DP World au kuwahi kuchukua Rushwa ?, Kwahio wewe unaweza kwenda kuchumbia mwanamke ambaye ana allegations za kula watoto wake na kuona ni kawaida bila kuhoji, wala kuweka vizingiti?
DP World inafahamika ni wepesi wa kutoa mlungula (siwalaumu ndio mbinu za kibiashara kwenye udhia unapenyeza rupia) lakini kwa kuwafahamu / kufahamu njaa za viongozi wetu ni sawa na kumwambia fisi akuchungie kuku wako..., By the way Nikukumbushe ndani ya miaka hii kumi tu ni viongozi wangapi imebainika wamekula mlungula ?