Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha! eti tumeshindwa...tumeshindikana Patrickn hii kiboko
1.soma na kirudie ulichoandika boss
2.pitia changamoto za miaka yote ambazo ndugu wa Emma walikuwa wana angaika katika media
3.pitia media zilivyoripot juu ya saga hili hasa katika kipindi hiki cha miezi mitatu nyuma-asa media za Ghana
4.mwisho njoo katika only one post ya Emma juu ya saga lililodumu kwa kipindi kisichopungua miaka 12 to date
5.naamini utakuwa umejiridhisha,otherwise mhmhmh sina neno la ziada.
Eti awajengee nyumba na kuwalipa mishahara kila mwezi? au sijaelewa hapo?
Mwanzo nilimshangaa dada mmoja alipokataa kuolewa na mtu mwenye nazo leo nimepata picha maana kila mtu anakutizama hata anayeamka kwenda kunywa mataputapu anataka umpe pesa, anayeshindwa shule ndio wa kwako umtafutie shule. Umasikini raha Afrika
Vipi kuhusu matumizi broHe has a year left in a 100,000 pounds a week contract, He is very far away from being poor. He earns in a year what most will never earn in a lifetime even here in UK.
Mama yake mchawi, ndiye anasababisha hata maendeleo ya ade ya kisoka kuwa matatani. Halafu huyu mama kawajaza chuki ndugu zake ili wamchukie. Wachawi wanakera sana.