Naungana na familia yake, Ade ni mtelekezaji wa familia. Mngesikiliza upande wa pili wa mama yake na dada yake mpaka wanafikia hatua ya kupangisha hiyo nyumba kutokana na kukosa hela ya matumizi msingewalaumu.
Anadai alimfungulia biashara mama yake, lakini ujue biashara ni kitu cha asili, asiye na asili ya biashara hawezi, lazima afilisike, halafu mama yake ilitakiwa amtunze yeye mwenyewe, mbona akina Oliech wa Kenya wanatunza familia vizuri tu?
Huyo kaka dereva wa malori Ujerumani ndo amekuwa anatuma dola 5000 kila mwezi kulisha familia yao iliyoko Ghana.
Ade hana pa kutokea kwenye lawama hizi, kuna ushahidi kwamba kawatelekeza mno wakati pale Togo kuna vitoto vinacheza ligi ndogo za ufaransa na familia zao zimekuwa boosted kiuchumi kwa namna moja au nyingine.