Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

Huyu kamuua wifi yake yeye na watu aliopewa na revocatus,huyo revo ni mtu naejuana nae vizuri sana na hiyo wiki ametoka kuua nlimkuta bar flani akinunua pombe kwa fujo....ndio bdae nkajua ni pesa ya damu kachinjwa mtu
Huyo Revo alikuwa analikaza hilo shangingi?
 
wanawake wa kaskazini,ukiwa na mbumba be very careful,anytime you gonna lost!!, Kuna jamaa angu R.I.P tulioa familia moja ,ndo hivyo tena!! Kilimanjaro wanawake wa kule,sijui ka laana gani kamewakalia aise!!! Msinione mbaguzi lkn ukweli mtupu!!
Ukweli usemwe hawana utu nasaba yao na asili ni ukatili kweny pesa kitaa kuna bro bro alifilisiwa na ndugu wa mke hadi watoto wameondoka nao jamaa Kawa broke kinoma ya ameanza upya katafuta kabinti cha handeni

Kabla aliambiwa usioe watu wa Kilimanjaro aya Arusha kaleta ubishi
 
Huo mpango wa mauaji ulivyosukwa unaona wazi kabsaa hao watu hawana uzoefu na mambo hayo ni kama wale waliomuua mume wake pia walikurupuka hii kesi tayari hukumu yake ipo wazi ni kunyongwa tu pia familia imegawanyika watoto wapo upande wa wajomba mambo ni shaghalabala tu.

True ni tukio la kishamba lenye kuacha ushahidi wa wazi kama la kina bashite la Lissu area c.
 
Hakuna muhalifu smart ni lzm tu ataacha shaka pa kuanzia
 
Umeachiwa 60% na Mali kibao, zingine umebadilisha Jina zimekuwa Mali yako, bado unaenda kutoa mtu roho, karma is real angalia sasa unaozea jela...
Akili yake ni kama jack wa mengi,
 
Sijui hata, Miguel Trevino, unaambiwa alikuwa halali pasipo kuua mtu. Yani inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mkono wake mwenyewe. Haonekani kujuta, na mbaya zaidi kafungwa tu miaka 15.
Wa hivi wengi huwa ni ajenti,kwa maana ya shetani kavaa mwili wa mtu
 
Wanawake wa kabila ilo la Kaskazini na mali

FCBDAG4WYAEcTCe.jpeg
 
Kuna Makabila hayafai kabisa kusomeka ni makabila ya Tanzania…itakuwa mchoraji wa ramani kule Ujerumani 1884 alikosea kitu kidogo
 
Wa hivi wengi huwa ni ajenti,kwa maana ya shetani kavaa mwili wa mtu
Shetani anajua kusingiziwa sana. Hawa macartel drug lords mexico ni watu wa kanisa sana na wakifa wanazikwa kwenye mahekalu yamejengwa kama makanisa yakiwa na misalaba mikubwa.
Jamaa anauliza hivi kwa hawa watu wote ulioua unalala kweli.
Eti anajibu as long as siwajui, sio ndugu wala mtu wa karibu haina shida ni sawa na kuua mnyama tu.
😂😂
 
Shetani anajua kusingiziwa sana. Hawa macartel drug lords mexico ni watu wa kanisa sana na wakifa wanazikwa kwenye mahekalu yamejengwa kama makanisa yakiwa na misalaba mikubwa.
Jamaa anauliza hivi kwa hawa watu wote ulioua unalala kweli.
Eti anajibu as long as siwajui, sio ndugu wala mtu wa karibu haina shida ni sawa na kuua mnyama tu.
😂😂
Huyo hana nafsi,nafsi yake kauza kwa shetani.Mtu mwenye nafsi hawezi ua mtu
 
Kuua mtu ni kiwango cha chini sana cha kufikiri. Unaua vipi mtu hali utoishi milele.
 
Ukiwa na pesa kila kitu unachokifanya kinakuwa cha gharama kwel,20 mil yote hyo,wakat kuna watu wanaua kwa laki 5 na alama hawaachi
At the end ni lazima ukamatwe tu damu nyingi zina password utakamatwa tu.
 
Back
Top Bottom