Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

20M ni ndogo sana ndio maana alipata wauaji wa kiwango kibovu kabisa.....walipopafahamu kwa anet, day 1, hg angechinjwa, then aneth akirudi wanamaliza shuguli in the same day,,,,,weka kwenye friza na usafi mzuri....wanaondoka na gari ya aneth.....wanaipigia kibiriti magari saba.....duh hizi mali hizi......
ila sijafagilia mauaji hata kidogo....mali mali mali...aiseee
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
wanasema hakuna perfect crime mkuu ni vile tu kwa sisi huku teknologia ndogo sana huko nje wanaofanikiwa ni wachache sana kutokamatwa watu wanapima hadi mchanga wa kiatu hahah.
angalia crime patrol ipo youtube ndo utaona watu walivyo nuksi kwenye kufatilia kesi
 
Carlos the Jackal hajakamatiwa Sudan. Alikamatiwa France na amehukumiwa maisha pale. If my memory serves me well. I stand to be corrected.
Carlos alidakwa Sudan kwa ushirikiano wa serikali ya Sudan na kupelekwa Ufaransa kukabiri mashitaka ya mauaji.
Kwa mujibu wa kitabu cha Carlos terror international.
 
Kuliko ku judge kwa kuangalia Makabila zaidi,ni bora au ni vizuri zaidi tuka judge kwa kuangalia familia au Koo zenye record hizo tataa!!
FAMILIA au KOO haziko angani; zinapatikana kwenye MAKABILA
 
Duuuh hatari sana [emoji848][emoji849]

Kweli binadamu ni wa kumuogopa
Huyo mama anaroho ngumu sana istoshe ushahidi ni mkubwa sana hapo hotelini kuna cctv camera,lazima police walirudisha nyuma kumuona revo anavyoingia kwa maringo 7
 
Mtu anachinjwa kama Mbuzi , halafu inategemea usikamatwe , Plan za mauaji za kishamba kabisa hizo , Yaani na simu walimnunulia Binti wa Kazi Ina maana walikuwa hawajui kuwa Wana acha alama ya ushahidi endapo wakifuatiliwa mitandaoni, Mijinga kabisaaa roho mbaya na choyo ime waponza wanastahiki kunyongwa na wao
Binti wa kazi anamjua mariam vizuri mana alikua anafanya kwa mama wa marehemu mererani,kuna shamba alikua analiuza 1.2bn na marehemu ndio alikua kikwazo mana alikua kapewa hati nyingi na kaka yake azitunze
 
Nikikumbuka mashuhuda wa mwili wamarehemu huwa nalia hadi leo mtoto alilala nafikiri walimpa dawa ya usingizi asubuhi akaamsha mama anamwambia anasikia njaa ampe chakula aende shule kwani gari inapita na yeye bado hajala mama haamki ikabidi aende kwa jirani. Inaumaaa uuuwiiiiii hapana jamani.
Marehemu alikufa kifo kibaya sana kuna fununu walimbaka na kumlawiti b4 kumuua
 
Bila shaka pia alimuua mumewe,

Sawa kwa vile alikuwa na tamaa kali ngoja dunia imfundishe
wanawake wa kaskazini,ukiwa na mbumba be very careful,anytime you gonna lost!!, Kuna jamaa angu R.I.P tulioa familia moja ,ndo hivyo tena!! Kilimanjaro wanawake wa kule,sijui ka laana gani kamewakalia aise!!! Msinione mbaguzi lkn ukweli mtupu!!
 
Kwani pesa 60% alizochukua hazikumtosha tu?! Pesa zote hizo alitaka afanyie nini?!

Halafu huyu mama inaonekana ni mshamba sana, au niseme ni mjinga, au tuseme tu elimu yake ni ndogo, au sijui nisemeje. Hivi mtu ambae mna ugomvi nae ambao bado unafukuta, unaweza kumuua kweli halafu utegemee usiwe suspect?! Huyu hata kama angekuwa ameuawa kweli na majambazi, bado yeye angekuwa ndio prime suspect , sasa sijui wanawake akili zao huwa zikauwaje yani, daah. Tena mi nadhani huyu ndio alituma majambazi wakamuue mumewe, naamini hivyo sasa.
Elimu ni std 7 plus roho mbaya na ulonzi,marehemu aliacha pesa na tanzanite kwenye safe yake ofisini,mama akatafuta wataalam wakafungua akatoa tanzanite na kumpa jaluo mmoja tunamjua auze...jaluo ni tajiri....bado pesa za bank,hotel kubwa,apartments,viwanja n mashamba hakua mtu wa njaa afanye huo unyama
 
Mwanamke ukiwa na pesa anataka akuondoe ili achukue chake mapema ila wachaga sijui waliambiwa nn kuhusu hela tusijisahau siku tumpe nchi mchaga tutaangamia bora wabaki huko huko BOT.
 
Hili jimwanamke lina roho mbaya kama sura yake. Huyu mtoto niliwahi kukutana na yule mama yake mkubwa anayeishi naye anasema yule mtoto hataki kwenda arusha wala upareni kwakuwa huko watu wanachinja wenzao [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nw ni mkubwa hakosi 12yrz ,baba yake ni mrombo
 
Huyu mwanamke itakuwa ndo yeye alimuua mmewe pia. Ikute alilipa watu wamuue mmewe ili arithi mali. Sasa ona Kamuua wifi yake tena. Sasa hata mali kazikosa. Kweli damu ya mtu haipotei bure.
Huyu kamuua wifi yake yeye na watu aliopewa na revocatus,huyo revo ni mtu naejuana nae vizuri sana na hiyo wiki ametoka kuua nlimkuta bar flani akinunua pombe kwa fujo....ndio bdae nkajua ni pesa ya damu kachinjwa mtu
 
Huyo binti alipewa hela ili aondoke akaenda kisarawe huko. Wao wakaja kufanya mauaji ili ionekane yule binti ndo kaua halafu kakimbia. Ukipata muda fuatilia huu mkasa vizuri utapata picha kwa ukubwa.
Binti alitolewa nyumbani kwa mama wa marehemu ndio alikua afanya huko na kuletwa dar...kwahiyo anamjua sana mariam na ndio key witnes,huyo revo ni dalali alikua kapewa deal ya kuuza shamba eka 10 hapo kisongo na mariam...kapata mzungu wa kununua docs mariam hana ziko kwa marehemu,ndio kupanga kumuua na kupata docs
 
Back
Top Bottom