Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya duniani kayakosa yote,Huyu mwanamke itakuwa ndo yeye alimuua mmewe pia. Ikute alilipa watu wamuue mmewe ili arithi mali. Sasa ona Kamuua wifi yake tena. Sasa hata mali kazikosa. Kweli damu ya mtu haipotei bure.
Muulize mke wakeJe,Msuya Erasto aliuwawa na nani?
Hata kama.Umesoma nlichoandika vizuri, nimesema inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mikonk yake mwenyewe
Vita nzima ya madawa Mexico haijaua watu kufikia 50,000. Watu 160k siyo mchezo.Umesoma nlichoandika vizuri, nimesema inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mikonk yake mwenyewe
Carlos the Jackal hajakamatiwa Sudan. Alikamatiwa France na amehukumiwa maisha pale. If my memory serves me well. I stand to be corrected.Kuna muuwaji very professional kumshinda Carlos the jackal? Mbona mwishowe alidakwa kama kondoo hapo Sudan?? Yuko wapi Sasa hivi??
Ndo maana nikampotezea...labda ye bado hajadakwa, time will tell[emoji848]Kuna muuwaji very professional kumshinda Carlos the jackal? Mbona mwishowe alidakwa kama kondoo hapo Sudan?? Yuko wapi Sasa hivi??
Check this...Carlos the Jackal hajakamatiwa Sudan. Alikamatiwa France na amehukumiwa maisha pale. If my memory serves me well. I stand to be corrected.
Je,Msuya Erasto aliuwawa na nani?
Kuna fake hapo
Yeap ukoo kabila sioni tatizoKuliko ku judge kwa kuangalia Makabila zaidi,ni bora au ni vizuri zaidi tuka judge kwa kuangalia familia au Koo zenye record hizo tataa!!
Mimi nimetazama kipindi kiko national geographic kinaitwa war on drugs, juzi walikuwa wanamzungumzia yeye, watu ambao ni offcial anajwa kuhusika ni kama 200ila mwisho, wao wanasema inakadiliwa katika kipindi chake chote inakadiliwa vita aliyoanzisha chini yake imeua watu 160,000 unless kama nilisoma vibaya namba labda ni 1600 raia wa kawaida, wanajeshi, wanahabari, wahamiaji waliokuwa wanakatisha kwenda marekaniHata kama.
Vita nzima ya madawa Mexico haijaua watu kufikia 50,000. Watu 160k siyo mchezo.
Je unajuwaje Kama mtuhumiwa alikamatwa lakini akamalizana kimyakimya na wakamataji!? Watu wakafuta midomo Kama vile hakuna aliyekula!? Case study Mtwara Police!!Kuna wauaji professional..
Kwa Hawa popolisisi wetu .. ..wanaachwa gizani.. ..
Haachi alama na hakamatwi Ila hayupo mbali.. ..
Kuna mtu kakutwa kauawa..mpaka kesho hajakamtwa mtu.. ..
Mifano ipo mingi wanakamatwa mabogoz tu!
Labda walitaka ionekane binti ndo anahusika na mauaji na kakimbiaYaani hawa huwa hawaangalii movie kabisa.....mbona walipanga mchezo kizembe hvyo? Walimuongeza huyo binti wa kazi kwenye cycle kwa ajili ya nini? Kesi ipo wazi sana...lazima mtu ale mvua za kutosha.......kuna zile ambazo mtu anapotezwa bila hata kujua kama kuna foul play
Mkuu unasema hii vita imeua watu ambao hawafikii 50,000?Hata kama.
Vita nzima ya madawa Mexico haijaua watu kufikia 50,000. Watu 160k siyo mchezo.
Muuwaji kwenye ubora wako ila tambua damu ya mtu ina funguo hata uwe mjanja vipi utajulikana tu hata ipite miaka 100Yaani hawa huwa hawaangalii movie kabisa.....mbona walipanga mchezo kizembe hvyo? Walimuongeza huyo binti wa kazi kwenye cycle kwa ajili ya nini? Kesi ipo wazi sana...lazima mtu ale mvua za kutosha.......kuna zile ambazo mtu anapotezwa bila hata kujua kama kuna foul play