Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

20M ni ndogo sana ndio maana alipata wauaji wa kiwango kibovu kabisa.....walipopafahamu kwa anet, day 1, hg angechinjwa, then aneth akirudi wanamaliza shuguli in the same day,,,,,weka kwenye friza na usafi mzuri....wanaondoka na gari ya aneth.....wanaipigia kibiriti magari saba.....duh hizi mali hizi......
ila sijafagilia mauaji hata kidogo....mali mali mali...aiseee
 
Je anafurahia maisha kama ilivyokuwa matarajio yake?
Sijui hata, Miguel Trevino, unaambiwa alikuwa halali pasipo kuua mtu. Yani inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mkono wake mwenyewe. Haonekani kujuta, na mbaya zaidi kafungwa tu miaka 15.
 
Una uhakika gani? Hujawah kuona watu wameuwawa na waliofanya mauaji hawajakamatwa?.....muuji professional haachi footprint hata siku moja!
wanasema hakuna perfect crime mkuu ni vile tu kwa sisi huku teknologia ndogo sana huko nje wanaofanikiwa ni wachache sana kutokamatwa watu wanapima hadi mchanga wa kiatu hahah.
 
Kwani pesa 60% alizochukua hazikumtosha tu?! Pesa zote hizo alitaka afanyie nini?!

Halafu huyu mama inaonekana ni mshamba sana, au niseme ni mjinga, au tuseme tu elimu yake ni ndogo, au sijui nisemeje. Hivi mtu ambae mna ugomvi nae ambao bado unafukuta, unaweza kumuua kweli halafu utegemee usiwe suspect?! Huyu hata kama angekuwa ameuawa kweli na majambazi, bado yeye angekuwa ndio prime suspect , sasa sijui wanawake akili zao huwa zikauwaje yani, daah. Tena mi nadhani huyu ndio alituma majambazi wakamuue mumewe, naamini hivyo sasa.
 
Dah! this is sad [emoji26] unaua mtu kisa Mali wakati tutaziacha zote na unae muua anatangulia tu wewe unamfata anytime
 
Bila shaka pia alimuua mumewe,

Sawa kwa vile alikuwa na tamaa kali ngoja dunia imfundishe
Ndio na mimi nimewaza hivyo sasa, wale waliompiga risasi inawezekana kabisa alowatuma yeye, ahojiwe ‘vizuri’.
 
Yaani hawa huwa hawaangalii movie kabisa.....mbona walipanga mchezo kizembe hvyo? Walimuongeza huyo binti wa kazi kwenye cycle kwa ajili ya nini? Kesi ipo wazi sana...lazima mtu ale mvua za kutosha.......kuna zile ambazo mtu anapotezwa bila hata kujua kama kuna foul play
Ndg usijiiongopee, hata ukiuwa kwenye kiza ki nene, kuna damu huwa hazikuaachii hivihivi, sometime wwe mwenyewe utaropoka kuhusu hayo mauji! Damu ya Mtu ni nzito sana usijaribu kabisa kumuwa Binaadamu mwenzio kisa viji Mali vya Dunia!!
 
Una uhakika gani? Hujawah kuona watu wameuwawa na waliofanya mauaji hawajakamatwa?.....muuji professional haachi footprint hata siku moja!
Ukiona muuwaji hajakamatwa,ujuwe system haijamuamulia tu!!
 
Kuna siri kubwa kwenye hizi Mali hawa matajiri wa migodi huwa wanafanya makafara makubwa sana, kama utapata mali kwa makafara ya roho za watu ukifa mtihani unaiachia familia yako.
 
Nikikumbuka mashuhuda wa mwili wamarehemu huwa nalia hadi leo mtoto alilala nafikiri walimpa dawa ya usingizi asubuhi akaamsha mama anamwambia anasikia njaa ampe chakula aende shule kwani gari inapita na yeye bado hajala mama haamki ikabidi aende kwa jirani. Inaumaaa uuuwiiiiii hapana jamani.
Hili jimwanamke lina roho mbaya kama sura yake. Huyu mtoto niliwahi kukutana na yule mama yake mkubwa anayeishi naye anasema yule mtoto hataki kwenda arusha wala upareni kwakuwa huko watu wanachinja wenzao [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
An

Angalia nasaba au asili ya ukoo unapotaka kuoa au kuolewa hayo ndo matokeo ya yake ukiona kweny asili ya kabila la mtu au anapotokea wana tabia ya ukatili ,ukorofi, ukarimu, wasomi na nyingine basi na yeye atakuwa nazo kwa asilimia fulani

Kwa imani yangu hili swala la nasaba au asili ya ukoo fulani tunaangalia sana unapotaka kuoa wapo makabili ni wakatili hata iweje ndoa asili na yao
Kuliko ku judge kwa kuangalia Makabila zaidi,ni bora au ni vizuri zaidi tuka judge kwa kuangalia familia au Koo zenye record hizo tataa!!
 
Ukiona muuwaji hajakamatwa,ujuwe system haijamuamulia tu!!
Kuna wauaji professional..

Kwa Hawa popolisisi wetu .. ..wanaachwa gizani.. ..

Haachi alama na hakamatwi Ila hayupo mbali.. ..

Kuna mtu kakutwa kauawa..mpaka kesho hajakamtwa mtu.. ..

Mifano ipo mingi wanakamatwa mabogoz tu!
 
So ulitaka aue kitaalam zaidi sio?

Shabaaash

Terrible being you are
Umeona Mkuu kuna watu wengine wana mawazo ya ajabu sana, inamaana yeye mazambi yake anayafanikisha kwa kua yuko very professional!?
 
20M ni ndogo sana ndio maana alipata wauaji wa kiwango kibovu kabisa.....walipopafahamu kwa anet, day 1, hg angechinjwa, then aneth akirudi wanamaliza shuguli in the same day,,,,,weka kwenye friza na usafi mzuri....wanaondoka na gari ya aneth.....wanaipigia kibiriti magari saba.....duh hizi mali hizi......
ila sijafagilia mauaji hata kidogo....mali mali mali...aiseee
We unaangaliaga Discovery ID wewe
 
Ukiua mtu mmoja kila siku. Kuua watu 160k itakubidi kutumia miaka 438.
Umesoma nlichoandika vizuri, nimesema inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mikonk yake mwenyewe
 
Back
Top Bottom