Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

Maelezo jinsi Mke wa Bilionea Msuya alivyomuua wifi yake yasomwa mahakamani

Nikikumbuka mashuhuda wa mwili wamarehemu huwa nalia hadi leo mtoto alilala nafikiri walimpa dawa ya usingizi asubuhi akaamsha mama anamwambia anasikia njaa ampe chakula aende shule kwani gari inapita na yeye bado hajala mama haamki ikabidi aende kwa jirani. Inaumaaa uuuwiiiiii hapana jamani.
Pole sana njoo nikukumbatie ujiskie vizuri..... Njoo
 
Mnavyoishi ndani ya nyumba lazima unajua kuwa huwa anaweza nitoa roho siku moja,
Ni kweli. Mtu atakae kuja kukudhuru siku za mbeleni huonyesha red flags nyingi sana. Na ukizidharau tayari umekwenda na maji.

Kuna siku tulikaa na mdada fulani hivi wa kimachame ni mstaarabu tu. Akanambia mojawapo ya mbinu wanawake wa kimachame hutumia kumuua mume wake bila kujulikana ni kwa kumpikia vyakula ambavyo vitamdhoofisha mwanaume katika eneo la moyo na kumsababishia magonywa ya moyo na hata kisukari bila huyo mwanaume kujua.

Yaani unapikiwa vyakula vinashindiliwa mifuta wewe kazi kula. Halafu anakuwa anakuzingua ndani ili mkorofishane uwe mtu wa stress na mawazo hadi upate shinikizo la damu na kufa ghafla.

Nikasema manina hapo ameshafeli kama ndo mimi. Huwa sili chakula ambacho macho yangu yamesema NO. I am responsible for my own health, my mother's health and my wife and kids. No one can decide what i eat but my self.
 
Umesoma nlichoandika vizuri, nimesema inakadiliwa kaua watu 160,000 either kwa maelekezo yake na wengine kwa mikonk yake mwenyewe
Bro, punguza tu hiyo namba, tufanyie discount fanya hata watu 160,yaani hizo sifuri tatu zikate kaaaaaaaah jamani.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mwanamke itakuwa ndo yeye alimuua mmewe pia. Ikute alilipa watu wamuue mmewe ili arithi mali. Sasa ona Kamuua wifi yake tena. Sasa hata mali kazikosa. Kweli damu ya mtu haipotei bure.
Kwa mujibu wa story za kipindi kile naskia mdogo mtu alikuwa kamshikia bango kuwa yeye amehusika na kifo cha kaka yake (mumewe).

Na hii ikawa inampa kiwewe cha kuumbuka so akaona ngoja amuue ili aweze kunyamazisha kiherehere maana dada mtu alikuwa anamtamani sana wifi yake aje kublast kuwa amehusika na mauwaji ambayo yeye huyu mke wa marehemu alikuwa ameyatengeneza yaonekane ni kesi ya uvamizi wa majambazi.

Na kuna kitu kinanipa hisia kuwa hawa wauwaji ndio waliohusika au waliokuwa behinde mauwaji ya kwanza ya mume wake.

Askari wakikomaa watapata leads wataweza kuconnect dots.
 
Huyu mama anaenda kunyongwa, kulingana na kifungu cha sheria husika labda Jaji amuonee huruma amfunge maisha.
Nahurumia watoto [emoji22][emoji22]
Yeye ameamrisha mauwaji hakuyatekeleza. Anaweza kula mvua ya maisha kadhaa, au akakiri kurukwa akili (pleade insanity) akafunguliwa jarada milembe na kutumikia kifungo huko huku akipewa matibabu kwa muda fulani say miaka 10+ then akaachiwa kwa tiketi ya kupona uwendawazimu wake na kurudi uraiani.

Hao waliouwa ndio msala wanao maana ni bora mtu afanye mauwaji katika mazingira ya kujitetea, hasira, au kutokutarajia kufanya mauwaji anaweza kuwa na utetezi. Hawa walikuwa na dhamira kabisa na waliridhia malipo wakamalize maisha ya mtu so hawa wananyongwa hadi kufa.
 
Carlos the Jackal hajakamatiwa Sudan. Alikamatiwa France na amehukumiwa maisha pale. If my memory serves me well. I stand to be corrected.
Alikamatwa SUDAN na askari kutoka Ufaransa na wakamchumkua na kwenda nae Ufaransa kifungoni. Check your facts before commenting.

Narudia tena. Carlos the Jackal alikamatiwa Africa, Sudan na yupo kifungoni tokea mwaka 1994.
 
Ukweli usemwe hawana utu nasaba yao na asili ni ukatili kweny pesa kitaa kuna bro bro alifilisiwa na ndugu wa mke hadi watoto wameondoka nao jamaa Kawa broke kinoma ya ameanza upya katafuta kabinti cha handeni

Kabla aliambiwa usioe watu wa Kilimanjaro aya Arusha kaleta ubishi
Kuna watu ukiwaambia wanakataa kabisa. Me nayajua fika haya maneno na si maneno ya kusingizia aiseee. Kuna kaukweli ndani yake. Kukuta mstaarabu wa tofauti ni nandra sana. Katika 100,000 ni m'moja.
 
Bro, punguza tu hiyo namba, tufanyie discount fanya hata watu 160,yaani hizo sifuri tatu zikate kaaaaaaaah jamani.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kasome kuhusu los zetas na vita walioanzisha mexico chini ya ya miguel trevino
 
Kasome kuhusu los zetas na vita walioanzisha mexico chini ya ya miguel trevino
Yaaani tulitaka utuambie mtu m'moja ambae kwa mikono yake bila kushirikisha wenzake ameuwa watu laki moja na elfu sitini tasilimu (160,000)
 
Sasa wale si ni jeshi kabisa la wahalifu wauza dawa za kulevya na wanauwa kwa Masses....
Sasa wakati unacomment ulikuwa umesahau kuwa miguel trevino ninayemuongelea ndio huyo former leader wa hilo genge? Kwa hiyo ukiua kwa masses ni sawa?
 
Yaaani tulitaka utuambie mtu m'moja ambae kwa mikono yake bila kushirikisha wenzake ameuwa watu laki moja na elfu sitini tasilimu (160,000)
Kwa mikono yake kaua watu ambao official number ni 194 tena wanadai inazidi hapo.
Kuna jamaa walikuwa wanamhoji juzi kwenye hicho kipindi anasema siku anakutana naye kwa mara ya kwanza alimkuta yuko kwenye maandalizi ana excute watu watatu waliokuwa wamefungwa mikono na miguu
 
Yeye ameamrisha mauwaji hakuyatekeleza. Anaweza kula mvua ya maisha kadhaa, au akakiri kurukwa akili (pleade insanity) akafunguliwa jarada milembe na kutumikia kifungo huko huku akipewa matibabu kwa muda fulani say miaka 10+ then akaachiwa kwa tiketi ya kupona uwendawazimu wake na kurudi uraiani.

Hao waliouwa ndio msala wanao maana ni bora mtu afanye mauwaji katika mazingira ya kujitetea, hasira, au kutokutarajia kufanya mauwaji anaweza kuwa na utetezi. Hawa walikuwa na dhamira kabisa na waliridhia malipo wakamalize maisha ya mtu so hawa wananyongwa hadi kufa.

Fuatilia why afande bageni amehukumiwa kunyongwa kwenye ile kesi ya kina zombe.

Sababu kuu ni kwamba yeye ndie alieamrisha mauaji.

Yaani utoe advance milion 10 kabla ya kazi ya mauaji na milion 10 nyingine baada ya kazi ya mauaji halafu useme wewe hujaua
 
Binadamu huwa tunajisahau sana likija swala la mali. Mtu aliechuma hizo mali amekufa na kuziacha, wewe ulieachiwa tu roho inakutoka mpaka kudhulumu uhai wa mwingine kusahau kuwa hata ukimiliki majumba elfu kumi, mwisho wa siku unaishia kuzikwa kwenye kisehemu kidogo sana cha ardhi.
Ndo uwe makini na unayemuoa au unayeolewa nae, watch out
 
Back
Top Bottom